Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Kuwa mwelewa ndugu, umeambiwa lipo Staki shari Segerea, linaitwa Spirit Word Ministry, hilo unalosema wewe, linaitwa Winners Chapel International lipo Banana.Au lile kanisa la mnageria banana dar
TENA NAONA SERIKALI NI WAUNGWANA, WATU WA HIVI NI WA KUCHINJA TU.Jamaa yuko deep vizuri sana kufundisha neno ila ana vitu kadhaa simuungi mkono...
Aliomba msamaha kwa serikali na wananchi kwa maneno kuhusu ushoga etc....kwanini serikali isingempa onyo kuliko kumfungia. Aliomba msamaha.
https://www.facebook.com/
Acha mawazo hasi. tumia your free mind. Serikali haihitaji kuwatumia wajinga na mshoga kama hawa Spirit World Ministry kufanya jambo lake. hawa mafundisho yao yamekuwa ya hovyo sana na yanayokinzana na maadili ya mwafrika siku nyingi tu. Serikali ipongezwe kwa hatua iliyochukua.Yaani kwa ukubwa wa tatizo jinsi ulivyo nchini waziri anasimama kutangaza kusitisha usajiri wa kataasisi hako kamoja tu?
NIlitaraji tangazo lake la kwanza lingeondoka na taasisi na ministry kama 1,000 hivi.
Hapo ndiyo mtaamini hizo taasisi zina mkono wa serikali au zimeanzishwa na serikali yenyewe ili kuzififisha dini kwa kuingiza viongozi na ministry za kitapeli ambapo itafika mahali wananchi wattaona dini ni utapeli tu na kuacha kuzifuata.
Mpango huu ni mbinu ambayo CCP iliwapatia CCM waitumie ili kuua ushawishi wa dini nchini. Mbinu hii haikuishia hapo, wameipeleka mpaka mdani ya Lanisa Katoliki amnapo ili ku discourage waumini wame introduce michango mingi sana isiyo na kichwa wala miguu.
Hata hiyo taasisi iliyofungiwa unaweza kukuta ilikua ni project ya serikali ni vile wameona approach hii imekua too much ndiyo maana wameishia kuifuta tu bila kuwachukulia hatua yoyote na hata ufutaji wake umekuja kwa kuchelewa sana.
Mchawi mkubwa wa nchi hii ni CCM na Serikali yake.
Huna ujualo, usipende kudandia kila comment kwa kudhani unaimudu kuku weweAcha mawazo hasi. tumia your free mind. Serikali haihitaji kuwatumia wajinga na mshoga kama hawa Spirit World Ministry kufanya jambo lake. hawa mafundisho yao yamekuwa ya hovyo sana na yanayokinzana na maadili ya mwafrika siku nyingi tu. Serikali ipongezwe kwa hatua iliyochukua.
Ugumu wa maishaa hausababishwi na ushoga/mashoga, unajipaa sonona bureeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TENA NAONA SERIKALI NI WAUNGWANA, WATU WA HIVI NI WA KUCHINJA TU.
KWA JINSI USHOGA ULIVYO TAPAKAA SIO JAMBO LA KUUNGA MKONO KWA NAMNA YOYOTE ILE.
Waumini mashoga na wasagaji kituo chao kimevunjwaKwahiyo waumini waende wapi? Wengine walikua vibaka, je warudie zama zao?
SahihiWarudie kuwa vibaka tutapambana nao kwa heri na shari hili ndio jukumu mama la jeshi la ulinzi na usalama. Waambie dada zako waendelee kujipanga manzese na bugururuni ipo siku tutawafikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msituharibie jamii.
Mashoga wanahitaji neno la Mungu ili wabadilike mbona wazinzi wapo wengi na still wanacheka nao tunataka haki sawa kwa woteUpumbavu, mbona Yesu aliwakumbatia makahaba?
Kanisa ndio mahali pa kurekebisha watu wakiwemo mashoga!
Mnataka kanisa liwafukuze mashoga? Halafu??
Sio pale kwenye hilo kanisa lile kwanza kilikuwa kituo cha kukusanyika mashoga na wasagaji na kilikuwa kituo cha kusambaza bidhas xinazotumiwa na mashoga na wasagaji kupitia kamouni yai ya Grace ProductsMashoga wanahitaji neno la Mungu ili wabadilike mbona wazinzi wapo wengi na still wanacheka nao tunataka haki sawa kwa wote
Kabisa, wanataka makanisa yawafukuze mashoga badala ya kuwakaribisha na kuwasaidia?Mashoga wanahitaji neno la Mungu ili wabadilike mbona wazinzi wapo wengi na still wanacheka nao tunataka haki sawa kwa wote
Waumini gani pale au wahuni na machangu ndo walijaa paleKwahiyo waumini waende wapi? Wengine walikua vibaka, je warudie zama zao?
We mwenyewe tukikagua mafaili yako ni uchafu mtupuWaumini gani pale au wahuni na machangu ndo walijaa pale
Wenye dhambi ikiwemo hao hakuna kanisa au msikiti unawazuia kwenda kufanya toba na kumrejea Mungu wao na kuuacha ushoga.Kabisa, wanataka makanisa yawafukuze mashoga badala ya kuwakaribisha na kuwasaidia?
Mbona hata mafisadi na mafiraji yanaenda kanisani? Kwanini mashoga wasiende kanisani?
Tutumie falsafa ya Yesu ya kuwakumbatia makahaba, hakuwahukumu.
Asiye na dhambi na awe wa kwanza kutupa jiwe. HAKUNA, wote majizi, wauaji na mafisadi, tena wengine ndo wachafu kuliko. MAKAHABA, WAZINZI, wachafu wa kila aina.
Wawaache mashoga, kiherehere tu. [emoji1373]
Sodoma na Gomora kulikuwa na wenye dhambi kibao wakiwemo wazinzi nk lakini dhambi pekee iliyofanya Mungu aunguze Sodoma na Gomora ni ushogaKabisa, wanataka makanisa yawafukuze mashoga badala ya kuwakaribisha na kuwasaidia?
Ushoga hata shetani tu anauogopaaSodoma na Gomora kulikuwa na wenye dhambi kibao wakiwemo wazinzi nk lakini dhambi pekee iliyofanya Mungu aunguze Sodoma na Gomora ni ushoga
Si kuwa wale hawakuwa na dhambi zingine la
Dhambi zingine Mungu alivumilia lakini sio Ushoga