Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Ndio maana akafungiwa. Unahoji Biblia kivipi?. Kama huitaki Biblia tengeneza kitabu chako ukahubiri. Wewe hupendi makande kutwa kuyasema makande kwanini usile chakula kingine?. Ndio maana serikali imemfungia ili akatafute kitabu chake akafundishe.
 

Uelewa gani? Kuimba bia tamu kanisani?. Mimi tangu waanze kuimba bia tamu kanisani nikajua hawa ni wahuni.


Kwanza hawezi kiwa deep maana anaponda Biblia na kudai Kuna kitabu kingine kitakuja maana yeye haiamini Biblia. Utakuwaje mwalimu au mihubiri kwa kitu ambacho ukiamamini?. Bora hata Zumaridi , huyu alikuwa anakufuru live. Naona serikali ikaamua kumtolea uvivu Sasa hivi anasikilizia stroke kitandani.
 
Kama wamefanya hivyoni sawa, Dini ni mojawapo ya vitu vya hovyo sana kwa miaka ya karibuni.
 
Hapana alisema ni dhambi lakini sio kosa kisheria. Kwa hivyo kiimani ushoga ni dhambi.
Kwa nchi ushoga ni kosa kisheria. kwa hiyo kanisa katoliki linapingana na sheria za nchi kw kusema ushoga si kosa kisheria. Linatakiwa nalo kufungiwa.
 
Yani kwa hilo la ushoga wala sikulembi, motoni utaenda na kibali dunian utakosa ,huwezi kuwa dume jike tukubembeleze
Inajulikana vyema huku kuwa wewe ni shoga unayejificha kwenye kichaka cha kupigia kelele ushoga. Humdanganyi mtu Emar
 
Kwahiyo waumini waende wapi? Wengine walikua vibaka, je warudie zama zao?
acha ujinga wee kwani siku zote walikuaga wapi Kameruni wewe, nyie ndio wale mnaoshabikia kunyanduliwa nyie nyambaf
 
Duh haya nakanisa yote yachunguzwe, wengine hawahubiri kwa maneno wanafanyana kwa vitendo.
 
Tofautisha toba na kuhamasisha ushoga. Yesu alihamsisha toba kwa wazizinzi sio kuhamasisha uzinzi. Wale Spirit world wanadai Hakuna dhambi, maana yake hawaamini kwenye toba ya dhambi.

Dhambi ni nini?
 
Inajulikana vyema huku kuwa wewe ni shoga unayejificha kwenye kichaka cha kupigia kelele ushoga. Humdanganyi mtu Emar
Pumpavu sana,tena sana ....mm cyo wakala wa shetani,ni mtoto wa yesu wa nazaleti na Mungu aliye haiii,hizo laana siwezi kufanya, narudia Wazinzi, mashoga na wengine wote msipo tubu na kuacha sehemu yenu ni kwenye ziwa la moto, najua ukweli umepata ,usipo tubu hizo laana zako utaenda motoni milele
 
Wewe ni nani? Mpaka useme huu ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…