Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Akili kama zako huwezi kumwelewa yule mwamba, hasa wakiwa na jamaa mmoja(Oscar Obed).
Inahitaji uelewa wa hali ya juu sana, binafsi nimefatilia jinsi alivyokuwa akifundisha hasa miaka 3-5 iliyopita alikuwa akifundisha vizuri zaidi.

Alipo anza kuzungumzia ushoga na kubishana na torati waziwazi ndipo serikali ikawa macho zaidi, In short waliomfungia ni wale ambao wapo kinyume na mafundisho yake ambayo kimsingi niya KWELI kabisa tena ni UZIMA.
Ana potosha maandiko.ajui chochote kuhusu Ukristo.
Anapinga amri 10 za Mungu eti zimepitwa na wakat
. wanawake wavae hata uchi kanisan, Biblia imepitwa na wakat ,zumaridi yupo sawa ni Mungu,tuambie we uliyemuelewa ana maanisha nini
 
Alimaanisha hivi:
Yohana 10:10
Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Wawe na uzima na si kuwaua na kuona wao hawafai bali tujumuike nao pamoja.


Alimaanisha hivi:
Yohana 10:10
Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

Wawe na uzima na si kuwaua ama kuwatenga bali tuwe nao pamoja kwani wote ni wana wa Mungu.
Kuhamasisha ushoga na kuwabadilisha waache ushoga ni vitu viwili tofaut
 
Jamaa yuko deep vizuri sana kufundisha neno ila ana vitu kadhaa simuungi mkono...
Aliomba msamaha kwa serikali na wananchi kwa maneno kuhusu ushoga etc....kwanini serikali isingempa onyo kuliko kumfungia. Aliomba msamaha.


Kuna huyo pasta kushoto wamwisho kabisa ana mahubiri ya hovyo sana kuhusu ulevi
 
 
Waufungie na Ukatoliki maana papa alisema kuwa ushoga si kosa kkishe

Siyo bure wewe. siyo kwa kuwatetea kwa kutukana. Eti unatetea watu wa imani kwa kutukana watu.
Mishoga mpo wengi, Mungu wangu!yani ipo siku mtachomwa moto milele,kizazi cha nyoka nyie kwenda kinyume na maumbile ya mwenyezi Mungu ni kufuru kubwa kwa aliyekuumba,siku ya mwisho jehanamu inakuhusu na utaenda kuzimu kwa mashoga wenzako,mavimavi nyie
 
Yaani kwa ukubwa wa tatizo jinsi ulivyo nchini waziri anasimama kutangaza kusitisha usajiri wa kataasisi hako kamoja tu?
NIlitaraji tangazo lake la kwanza lingeondoka na taasisi na ministry kama 1,000 hivi.
Hapo ndiyo mtaamini hizo taasisi zina mkono wa serikali au zimeanzishwa na serikali yenyewe ili kuzififisha dini kwa kuingiza viongozi na ministry za kitapeli ambapo itafika mahali wananchi wattaona dini ni utapeli tu na kuacha kuzifuata.

Mpango huu ni mbinu ambayo CCP iliwapatia CCM waitumie ili kuua ushawishi wa dini nchini. Mbinu hii haikuishia hapo, wameipeleka mpaka mdani ya Lanisa Katoliki amnapo ili ku discourage waumini wame introduce michango mingi sana isiyo na kichwa wala miguu.
Hata hiyo taasisi iliyofungiwa unaweza kukuta ilikua ni project ya serikali ni vile wameona approach hii imekua too much ndiyo maana wameishia kuifuta tu bila kuwachukulia hatua yoyote na hata ufutaji wake umekuja kwa kuchelewa sana.
Mchawi mkubwa wa nchi hii ni CCM na Serikali yake.
Nilikuwa siamini kama hili Kanisa lilianzishwa kwa nia njema ya kumhubiri Kristo.
 
Nilikuwa siamini kama hili Kanisa lilianzishwa kwa nia njema ya kumhubiri Kristo.
Ili kuweza kuhimili wimbi la mabadiliko na kuendelea kubaki muda mrefu zaidi madarakani, CCM ilishajivua Ujamaa na CCP waliwashauri njia sahihi ya kuwa in control ni kufuata Ukomunisti.
Kupiga marufuku dini katika zama hizi ni haiwezekani, hivyo njia waliyoshauriwa kuifuata ni kuanzisha madhehebu mengi ambayo mtu ndiyo atakua anafuatwa wala si mahubiri na pia mahubiri yaww ya yale yasiyo na misingi wala mwelekeo wa dini husika.
Kwa yale makanisa makubwa wapandikize viongozi na wachungaji na zaidi wahakikisha yanachoka kwa migogoro.
Kwa Wakatoliki wao sababu ni ngumu kuingikika basi ni kuyumbisha kanisa kwa michango idiyo na ukomo na haya yanaanzishwa kupitia kwa Walei na kwenda hadi kwenye Jumuiya, yote hii ni kuwachosha waumini wajiweke mbali na dini na hatimaye dini kukosa mvuto na yale makanisa waliyoyaanzisha kuimarika ambapo baadaye kupitia mskanisa hayo watu watatawalika.
Upande wa waislam wao hakuna shida sababu BAKWATA is already there.
 
Mishoga mpo wengi, Mungu wangu!yani ipo siku mtachomwa moto milele,kizazi cha nyoka nyie kwenda kinyume na maumbile ya mwenyezi Mungu ni kufuru kubwa kwa aliyekuumba,siku ya mwisho jehanamu inakuhusu na utaenda kuzimu kwa mashoga wenzako,mavimavi nyie
Muangalie sana anayepiga kelele na kushutumu wenzake.
 
Jamaa yuko deep vizuri sana kufundisha neno ila ana vitu kadhaa simuungi mkono...
Aliomba msamaha kwa serikali na wananchi kwa maneno kuhusu ushoga etc....kwanini serikali isingempa onyo kuliko kumfungia. Aliomba msamaha.

Kabisa mkuu jamaa yuko Deeep mno mno ingawa kwenye kuna vitu sikubaliani navyo,
 
Back
Top Bottom