Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
- Thread starter
-
- #81
Vinapatikanaje mkuuIla vi hela hela vya hapa na pale vinapatikana
njaa tu Hawali ela ya maana kama TRATraffic vipi????
Hatari sanaTRA TRA TRA. kuna dogo aliingia akiwa field akapata chance akaajiriwa kumbe hakurudi chuo mwaka wa pili ila baada ya miaka mitatu yule dogo ana Audi 2,anamlea mama yake,anamsomesha mdogo ake, ni mwendo wa Hennessy tu yaan ni saiv level zake sio za kawaida tena.
Ahahahha mkuu acha tuuu...Nyie si ndio mnatumbuliwa kila siku kwa upigaji wa mbegu na mbolea za ruzuku?
Alikuwa anasoma Degree?TRA TRA TRA. kuna dogo aliingia akiwa field akapata chance akaajiriwa kumbe hakurudi chuo mwaka wa pili ila baada ya miaka mitatu yule dogo ana Audi 2,anamlea mama yake,anamsomesha mdogo ake, ni mwendo wa Hennessy tu yaan ni saiv level zake sio za kawaida tena.
Alikua hana diploma alisoma advance huko mtwara kwaio akaja kuchukua degree ndo kipindi cha field akaishia hukohukoAlikuwa anasoma Degree?
Na kama alikuwa anasoma Degree, alikuwa na Diploma pia?
Aliajiriwa kwa cheo kipi ambapo bado hakuwa na taaluma inayotakiwa. Huyu tunaweza kumuweka kwenye kundi na mfanyakazi hewa sasa[emoji1]Alikua hana diploma alisoma advance huko mtwara kwaio akaja kuchukua degree ndo kipindi cha field akaishia hukohuko
It is wrongNi urefu wa kamba ............hujavunja nyumba ya mtu
Ki vipi ndugu,,,,,mie nina jamaa zangu walitumikia hii nchi kwa moyo wa uaminifu.....kwa sasa ni wastaafu.....wana maisha magumu haswa.....wamebaki na ninge...... tunge..... n.k.It is wrong
Labda ni kitengo chini ya wizara ya fedha......Hivi wahindi wa betting mnawaweka kwenye taasisi gani
Aise wanapuna fedha za watanzania sio poa hadi shilingi moja wanabebaLabda ni kitengo chini ya wizara ya fedha......
Aise wanapuna fedha za watanzania sio poa hadi shilingi moja wanabeba
Uwe unaumwa, umefiwa, unauguza, Muhindi anakupuna tu, yaani hacheki na yoyoteAise wanapuna fedha za watanzania sio poa hadi shilingi moja wanabeba
hakuna haja ya kuzipanga hapo taasisi safi pekee ni JWTZMimi naona;
1.TRA
2.TRA
3.TRA
4.TRA
5.TRA
6.MAHAKAMA
7.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
8.TBS
9.MALIASILI
10.HOSPITAL
11.HALMASHAURI & MANISPAA
Maliasili baadhi tu mbona nasikia Tawa na Tfs wanakula mshahara wa kawaida tuZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine