Taasisi zinazokula kwa urefu wa kamba zao

Taasisi zinazokula kwa urefu wa kamba zao

TRA TRA TRA. kuna dogo aliingia akiwa field akapata chance akaajiriwa kumbe hakurudi chuo mwaka wa pili ila baada ya miaka mitatu yule dogo ana Audi 2,anamlea mama yake,anamsomesha mdogo ake, ni mwendo wa Hennessy tu yaan ni saiv level zake sio za kawaida tena.
 
TRA TRA TRA. kuna dogo aliingia akiwa field akapata chance akaajiriwa kumbe hakurudi chuo mwaka wa pili ila baada ya miaka mitatu yule dogo ana Audi 2,anamlea mama yake,anamsomesha mdogo ake, ni mwendo wa Hennessy tu yaan ni saiv level zake sio za kawaida tena.
Hatari sana
 
TRA TRA TRA. kuna dogo aliingia akiwa field akapata chance akaajiriwa kumbe hakurudi chuo mwaka wa pili ila baada ya miaka mitatu yule dogo ana Audi 2,anamlea mama yake,anamsomesha mdogo ake, ni mwendo wa Hennessy tu yaan ni saiv level zake sio za kawaida tena.
Alikuwa anasoma Degree?

Na kama alikuwa anasoma Degree, alikuwa na Diploma pia?
 
Back
Top Bottom