Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Mnoooo aisehMwee[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Safari ilikuwa ndefu Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnoooo aisehMwee[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Safari ilikuwa ndefu Sana.
Mtu akijitanua unamkalia ee..safi kabisa mtakatifuWeekend ukigeuza Dar nicheki dokta.
Usijitanue sana Kwenye seat[emoji38]utambana uliyekaa naye.
Mimi mtu akijitanua sana namkalia.
Unakuta unawatolea macho ishara ya kuonyesha kwamba wanakera,lakini utadhani ndio umewaambia ongeza sauti[emoji38][emoji38][emoji38].Mimi huyo na kama wataendelea basi nitawaambia wawe wastaarabu waache kuongea kwa sauti kubwa zinazosumbua wasafiri wengine.
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]Mnoooo aiseh
Unakuta unawatolea macho ishara ya kuonyesha kwamba wanakera,lakini utadhani ndio umewaambia ongeza sauti[emoji38][emoji38][emoji38].
[emoji23]Mtu akijitanua unamkalia ee..safi kabisa mtakatifu
Kuna watu hata Huwa hawashtuki.Hahahahaha zangu hizi nitawakata jicho kwanza wote wawili kuonyesha kutopenda kelele zao.
Kuna watu hata Huwa hawashtuki.
Yaani duniani kuna kero nyingi aisee.
Kama nakuona unavyofanya fujo [emoji1787][emoji23]
Hasa sisi wembamba ndio unakuta tunabanwa hadi basi.
Dawa ni kuinuka na kukaa upya..nikiinuka nikikaa nakaa seat yangu yote
Kwahiyo kama niliyekaa naye amekaa na sehemu yangu yaani namkalia Sehemu iliyozidi.
Inasikitisha.Kuna baadhi ya watu ustaarabu umewapitia kushoto kabisa na idadi yao inazidi kuongezeka siku hadi siku.
Udhaifu huo.Je, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini
Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi,
Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone 13.
Yaani unakuwa unaona aibu hata kuitoa.
Unakuta kabinti kanajikuta kako busy na Simu kameweka earphone hakatoi ukikakaribisha mhindi unaona kanatoa earphone sikio moja harafu kanajibu "Ahsante stumiagi mimi" na wakati kanaelekea Usukumani
Binafsi hiyo tabia sipendi
Usijali mtakatifu Anne.Weekend ukigeuza Dar nicheki dokta.
Usijitanue sana Kwenye seat[emoji38]utambana uliyekaa naye.
Mimi mtu akijitanua sana namkalia.