witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Heee hujaona mkuu? ...yamepigwa banKumbe ni ma sumu?
Tulikuwa tunakunywa masumu asee [emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee hujaona mkuu? ...yamepigwa banKumbe ni ma sumu?
Aisee bora niendelee na KVANTHeee hujaona mkuu? ...yamepigwa ban
Tulikuwa tunakunywa masumu asee [emoji134]
Wanakera kinomaAu dereva yaan ni anakuanza ubungo kuomba namba au kukuzoea[emoji849]
Wanaokaa dirishan halaf hawapendi kufungua dirisha muda wote anafunga kioo sipendii
Kukaa na wazee,na wenye watoto sipendii
Abiria jirani kutaka kunijua saaana na kuomba namba,, keroo mnatakiwa kujua si mara zote mtu Yuko safari kwa matembezi manake hizi ndo zenye raha, wengine safari ni za majonzi, mahangaiko nk kuuliza uliza habari za mtu Ni kumuongezea mahangaiko na makasiriko
Shukrani sana nitafanya hivyoMpe namba ya kamanda fulani kikosi maalumu, zile namba zao huwa public...
Tafuta ya mmama mmoja hivi mpe...
[emoji23]
Hasa sisi wembamba ndio unakuta tunabanwa hadi basi.
Dawa ni kuinuka na kukaa upya..nikiinuka nikikaa nakaa seat yangu yote
Kwahiyo kama niliyekaa naye amekaa na sehemu yangu yaani namkalia Sehemu iliyozidi.
Hahaah wanakuonyesha machimbo ya mjerumaniNapenda kukaa siti ya mwisho kwenye kona kabisa(benchi la ufundi),. Af dereva atembeze kiatu kwelkwel.
Sipendi kukaa na mtu mjuaji wa mambo.
Be like "oya unapaona hapa, yale ndo majabali ambapo wajerumani waliyatumia kama maficho ya dhahabu walizotuibia mwaka 1927. Wakati huo ..........." Wanakera sana.
Kweli huwa inawasaidia ila unakuta mwingine anauliza kijinga mno ...Ila kuna wengine hupata connection na msaada kupitia maswali hayo.
Hapo anataka kuwaonyeshea wasafiri wengine kua na yeye ana family na wanainjoiKuna wale wanaongelea kwa sauti mambo ya nyumbani kwao kwenye bus, wanakera sana
Unakuta mama anamwambia binti wa kazi tunakuja tupo njiani, hakikisha umepika hiki na hiki, halafu mjaze maji kwenye jaba eeh
Jana usiku mlikula nini? Hamjanimiss na wanacheka cheka sana
Mara Baba yenu yupo hapo mumpe simu nimsalimie Mume wangu???
Yaani mambo ya nyumbani kwao wanaongea kwa sauti kama vile yanatuhusu na sisi.
K E R O K U B W A