Tabia gani ulishindwa kuacha ukiwa shuleni?

Tabia gani ulishindwa kuacha ukiwa shuleni?

Kubishana na walimu ambao walikua wanapenda kuonea wanafunzi.
 
Kuchelewa aise ata nikiwah kuamka ntachelewa tu
 
Heshima kwenu wakuu wa Jf

je ni tabia gani uliyoshindwa kuacha ukiwa shuleni
1.Utoro
2.Kuchelewa
3.kupiga kelele darasani
4.wizi
5.ugomvi shuleni
6.Upole darasani
7.kutumia simu shuleni
kama sijaweka yako unaeza kueka tukaenda sawa..
When I was at school ,I was very allergic in dodging the lessons
 
Afazali... maana nlishataka kughairi kukutongoza...
[emoji87] [emoji87] inamaana bado unashikilia huo msimamo wako wakunitongozaa????

Tunaharibu Uzi wawatu tutapigwa banned twende kwenye kijiwe cha kahawaa
 
[emoji87] [emoji87] inamaana bado unashikilia huo msimamo wako wakunitongozaa????

Tunaharibu Uzi wawatu tutapigwa banned twende kwenye kijiwe cha kahawaa
Hey bitch stop being aggressive [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Secondary nilikuwa nashinda na kujificha kwenye mianzi wanakogemea ulanzi class nilikuwa siendi
Kamwene mnyalu..una nikumbudha enzi zetu tukiwa A-level pale mkwawa, ni full kwenda maeneo ya makanyagio na ilala kunywa ulanzi tu, aisee, kurudi shule tunapitia kule shule ya msingi ilala (iko mlimani) au kule uwanja wa Mpira kuna mlima umejaaa vitindi vya ulanzi...aisee...ilikuwa rahaa sana kunywa ulanzi wa wanyalu.
 
Back
Top Bottom