Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AiseeMke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
Sio kweli, ni mazoea tu na akili yako ulivyoizoesha, tuulize sisi tulioishi maisha yote mawili.Wanywa soda na juice 🥤 mna shida Sana..
NB.
Kama hajawai kutumia kilevi chochote Basi jua HAUJAWAI KUISHI ZINGATIA NENO KUISHI.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna jamaa yangu alilewa siku moja akaongea maneno haya;
"Mimi ni mfalme wa dunia nina nguvu za kufufua nyoka"
Nilicheka sana, Na hua naendelea kucheka kila kumbukumbu inaponijia, Sijui alikua anawaza nini.
Pombe ina kilevi, sasa ukinywa na usilewe inamaana gani kunywa pombe? Kama nia ya kunywa ni ili usilewe, kwanini usinywe maji, soda au maziwa?Kuna wanywaji na walevi ukiona mtu kanywa na kuanza kufanya hayo unayo yaeleza Basi jua haji heshimu na haeshimu izo pombe za kijingaaa
Kama umeishi kote wewe umewai KUISHI..Sio kweli, ni mazoea tu na akili yako ulivyoizoesha, tuulize sisi tulioishi maisha yote mawili.
Au ni wewe mkuu 😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Changamoto yako hupendi kilaji tu.Jaribu ukapige mdindifu wa kule kwa wachina Mkimbizi au wa Ifunda au Tanangozi au Isakalilo kule halafu uje utupe majibu.Kama huko kote ni mbali nenda Victoria au Sebuleni kwa mzee Tausi Stereo utapata majawabu tu.Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kutongoza wanawake malonya wakijua ni butiful
Kutukana polisi serikali na watu wazito wakijua hawatafanywa lolote
Kujifanya usalama wa taifa au wajeda
Ubongo unakuwa haupo stable, so obvious na mwili unakuwa haupo stable.Hivi ni nin kinawavuta huko nyuma au miguu nayo huwa inapata kizunguzungu
Ni Kwamba hakuna jibu Moja,lazima liwe na maelezo au?!!!Watu wanakunywa na Wana drive safe..
Bado haujakua..ukikua utafuta hii kauliUlevi ni usenge wa wazi mno
Kuna kitu kinaitwa alcohol persistence level 🎚️ hautakiwi Kuzid level yako maana utakua una MIS USE ALCOHOL LAZIMA IKUZINGUE.Pombe ina kilevi, sasa ukinywa na usilewe inamaana gani kunywa pombe? Kama nia ya kunywa ni uli usilewe, kwanini usinywe maji, soda au maziwa?
Tusimulie na yule mpenzi wako akilewa anakuajeShangazi dorry huwa akilewa...
Mda wote analalamika kuwa computer yangu inamaliza umeme...
Hvo akilewa huwa nazima pc angu mapema
Ndo huyu huyu madam..Tusimulie na yule mpenzi wako akilewa anakuaje
Kupeana deals na kazi kwq urahisi!Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.