Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Urafiki na madem mara nyingi hauna maana. Wana shida nyingi sana af sisi kama ME huwez mshirikisha shida zako

Pia nikurekebishe men are superior kwenu usipoliona hilo utakuwa unaona mazigaz
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Kinachofanya utongozwe au uliwe ni kutaka dezo toka kwa mwanaume. Kama hutaki kutongozwa usiombeombe msaada toka kwa mwanaume jitegemee hakuna msaada wa bure uko safari lakini unataka ulipiwe chakula na mwanaume uliyekaa naye siti moja kwani ulivyosafiri hukuwa na hela?

Huwezi kula bila kuliwa.
 
Kinachofanya utongozwe au uliwe ni kutaka dezo toka kwa mwanaume. Kama hutaki kutongozwa usiombeombe msaada toka kwa mwanaume jitegemee hakuna msaada wa bure uko safari lakini unataka ulipiwe chakula na mwanaume uliyekaa naye siti moja kwani ulivyosafiri hukuwa na hela?

Huwezi kula bila kuliwa.
Wenye kuomba omba misaada unnecessarily hiyo ni kesi nyingine sasa
 
Si kweli eti wanaume kipato chetu kinaishia kwa warembo bia na nyama choma. Tunakataa kabisa kabisa.
Wanaume wanajulikana kwa kuanzisha maboma, kuyatunza, kusomesha kuanzia wakina mama mpaka watoto, kuboresha maisha yao. Ziada lazima naye mwanaume ajipende.
Ni kama mwanamke, tatizo wakitumia malaki kwenye nywele wanaona siyo issue. Wakitumia maelfu kwenye nguo za harusi na kitchen party wanaona vijisenti! Kwanini wana mawazo ya kibinafsi hivi?!
Baeleze bwana. Na wao tunawajazia mafuta hadi magari yao. Hawana shukrani hawa
 
Na nyie muache kupenda mtelezo(vitu vya bwerere)maana saivi mtu awezi kukupa kitu bure tu ni hivyo wakiomba namba usitoe.Maana yaan sisi wanaume na wanawake ni kama Simba na Swala aaaah nadhani umeelewa ni hayo tu.
 
Mwanamke akiwa mrembo utaachaje kumtongoza,huwa tunatongoza akikubali Ni sawa na akikataa Ni sawa pia.
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Wajibu wetu. Tafadhali tusiingiliane majukumu! Wanaume tumeumbwa hivyo. Ukikubali NI MOTO TU! Msipotongozwa shida. Mara waganga. Mara kujichubuwa mpaka mwaonekana kama tetracycline. Mara mwaenda kwa matapeli wa kiroho kina mwamposa. Mara mwawa vichaa na kuthubutu kujiua. WHAT DO THE WOMEN REALLY WANT?! ⁉️😕😵🤔
 
Muanze kubadilika kwanza nyie ndo mtushauri sisi. Wanawake ni ngumu sana kupanga nao jambo nje ya mapenzi. Dada zetu tu nyumbani wakipata Boyfriend zao huwaambii kitu. Kupanga kitu na wanawake ni risk kubwa. Yaani labda kiwe cha muda mfupi tu na unayepanga nae awe ameolewa na mume wake pia awepo kumsaidia....
 
WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!
Machozi yanatoka pande zote mbili huwa hamjui tu,
Na hamna aliyelia hapa watu wanafunga mkanda shughuli inaendelea ikiwezekana mtu unakua single faza tu.
 
Kimsingi hakuna mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume yasiyohusisha kupigana miti. Unless huyo mwanamke ni bibi, mama, shangazi, dada, binamu, shemeji au mtoto wa kike.

Nje ya hapo ni kupigana miti tu. Mbona nyie mkikutana na wanaume wenye pesa zao huwa hamuwazi mara mbili kuzitamani na kutaka kuzitumia as if ni urithi wa baba zenu, kumbafu.
 
Hii ni excuse tu ILA KUNA BAADHI YA WANAUME ni shiiida, Uchumi wa Tanzania unakuwa wanawake wengi wamesoma, wengi wanashikilia nafasi mbalimbali, wengi wana biashara mbalimbali na wengi wana vipato HIVYO NI KOSA KUBWA KUMFIKIRIA MWANAMKE WA SASA WA TANAZANIA SAWA NA KARNE YA 20!!!!!

Mwanamke wa leo unaweza kushirikiana NAYE kwenye mambo chanya na yenye TIJA!!! Ila ukiwa na mawaza ya kumwona kila mwanamke kama sex toy ujuue unaweza ukawa unajifungia fursa mbalimbali mwenyewe bila kujijua!!!!

Wenye TABIA hii badilikeni!!!
Huku ni kujitetea.
 
Back
Top Bottom