Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

siku moja nilibeti nikaliwa laki 6 na 80 elfu kwa siku moja, na siku hiyo ndo mshahara ulikuwa umetoka na kabla sijanunua chakula ndani kodi ya chumba nadaiwa nikasema ngoja nibeti walau ifikike milion moja then ndiyo nifanye mahemezi, nilipe kodi na kufanya mengine madogo madogo, lakini kilichotokea nililiwa hiyo more than 600k bado sijaanza kulala njaa na kodi nadaiwa, nikarudi geto nikajifungia nikapiga magoti nikalia kwa uchungu nikasema "EE MUNGU NAOMBA PEPO LA KUBETI LINIPITE MBALI ".
Hapo uliamua vizuri ila ulitakiwa uanze kwenda na watu wengine wanaojua Biblia ili uelewe kumtegemea Mungu vizuri,o kwa kupata mafunzo zaidi.

Kusali sala ile hakukufanyi wewe ubadilike ghafula. Unahitaji kusali na kusoma Neno la Mungu na ikilieezekana hali uliyofikia ulihitaji kukariri mistari inayokataza tabia hizo.
 
Mleta mada very soon utaanza kuliwa "jicho"
Usipobadilika narudia tena karibu sana utatafunwa..!
 
Kama ni jana ndiyo umeacha basi wewe mkuu hujaacha bali umepumzika tu kidogo.

Kama unaona kutania utakuja kunambia, labda uwe ulioa jana pia ndio utaacha.

Niliwahi kuacha punyeto kwa siku 23 lakini bado nilirudi mzigoni na nilirudi kwa gia kwamba ngoja nipige moja tu kupunguza uzito kidogo lakini ndiyo ikawa moja kwa moja tu.
Mkuu kama kawa bado nipo kwenye chama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliacha siku mbili tuu. Ee Mungu nisaidie. [emoji120][emoji120]
 
Badilisha simu yako na utumie simu ndogo ambayo haina access na intaneti, ukiweza hapa unaelekea hatua nzuri, sababu simu janja inaweza kuwa sababu kuu katika mapito hayo yote sababu uko nayo muda wote.

Muite Mungu aongoze njia zako. Hakuna atakayekuja kukuambia fanya hivi ama vile, maisha yako yako mikono mwako, ni uamuzi wako uyajenge /uyabomoe.

Fanya mazoezi ya viungo kama skwayat/push-up kupunguza mawazo ya kujiselfia mwenyewe.
Andaa ratiba ya siku 21/30 uifuate, Kama jambo siyo la muhimu liache fanya yaliyo katika uwezo wako na nafsi yako itatulia.
Good, Hongera unafaa kuwa mshauri nasaha.
 
Chai ya moto sanaaaa, Wanaume wengi tushawahi piga punyeto ila mara nyingi bao moja tu, kwanza likishatoka utaki hata kuendelea...huyu nane, nimesoma nikasema hiiiiiiiiiii hahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana ndugu yangu, ila kitu cha kukushauri addiction yeyote huwezi kuamua kuacha na ukaacha ghafla. It takes time, discipline & commitment na pia hizo tabia utaweza kuziacha kwa hatua ila sio kwa mara moja.

Mfano jiwekee malengo ya kuacha punyeto, kubeti n.k ndani ya miezi sita au mwaka kwa hatua na mipango. Kama ulizoea kupiga punyeto kila siku kwa wiki basi weka mpango wa kupunguza na kufanya mara tano kwa wiki. Ukiweza kupunguza hadi hizo siku punguza tena hadi mara 4 au 3 kwa wiki. Endelea hadi mara mbili moja hadi uache kabisa. Kumbuka hatua moja inaweza kuchukua wiki kadhaa hadi mwezi ili ufaulu ndio maana nasema inachukua muda.

Kuhusu kubeti unaeza kufuata hatua zile zile mfano km ulizoea kubeti laki5 basi jiwekee mpango wa kupunguza kiwango chako cha kubeti labda hadi laki 3, shuka hadi laki 2, 1 hadi elfu 50 mpaka uache kabisa. Kumbuka kuzingatia uamuzi wako usije kupunguza hadi laki 1 ukarudi tena laki 5 utakuwa unafanya kazi bure ndio maana nasema unahitaji discipline na commitment.

Kila kitu kinawekana kama ukiamua wengi wamepitia hayo na wamevuka hata wewe unaweza. Nakutakia kila la kheri naamini utafanilkiwa.

God bless you.
Amen
 
Dah pole Sana ndugu.Fikiria jamii yako wazazi wako, ndugu zako na uache Jambo Hilo baya wewe niwathamani sana ktk taifa hili na familia yako Kaka, tafakari upya juu ya betting, watu wanabet Ila kiwango chako ni harmful.
 
Back
Top Bottom