kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Shukuru Mungu wewe hujawahi piga nyeto mkuu.Huu uzi sio wa kucheka ila nimecheka kinoma..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukuru Mungu wewe hujawahi piga nyeto mkuu.Huu uzi sio wa kucheka ila nimecheka kinoma..
Unanilisha maneno mbona.Shukuru Mungu wewe hujawahi piga nyeto mkuu.
Mama mchungaji tuweke kwenye maombi yako aisee..hali ni mbaya.
Kwani wewe Darmian haumchi Mungu?Mama mchungaji tuweke kwenye maombi yako aisee..hali ni mbaya.
Habari zenu wakuu,
Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?
MOJA :KUBETI MPIRA ; Nilianza kubet mwaka 2016 kwa sh 500 tu lengo kutafta walau kutafta hela ya vocha tu kila siku ila leo hii 2021 naweka hadi laki 2, 3,5 mpaka 8 na mikeka inachanika na lengo siyo kutafta tena hela ya vocha bali imekuwa kutafta hela ya maisha,MUNGU nihurumie maana kuna mda naliwa hela nyingi hadi natamani kujiua lakini ghafla najikuta napumua nakuzinduka tena.
MBILI : PUNYETO ; Hii ndo huwa sehemu yangu ya kupunguza machungu baada ya kuliwa hela kubeti.yaani naweza weka laki 5 nikishaliwa naweka GB 3 kwenye simu najifungia geto nacheki video za ngono na kupiga punyeto tu kwa siku nzima najikuta nimepiga goli 8 hadi 12 hadi miguu inaishiwa nguvt nashindwa hata kusimama na nakojoa matone siyo nyege tena.
TATU : UONGO ; Hii imesababishwa kwa kiasi kikubwa na kubeti, pesa ambayo ningewapa wazazi wangu wafanyie mambo ya msingi najikuta nimebetia imeliwa kwa hiyo naanza kutunga stori za kiwango cha digrii ili tu nieleweke ingawa haisaidii kitu maana mwongo mwisho wa siku huumbuka tu.
NNE NA MWISHO : KUTOMCHA MUNGU ; mara kadhaa nimekuwa nikiamini kuwa nikimcha mungu katika usiriazi basi sitabeti,sitapiga punyeto na sitadanganya, lakini nako nashindwa, natubu nakaa wiki moja kama sina hela nauza hata kitu ndani kama sabufa hivi hela nabetia naliwa yote narudi kupiga punyeto kujipoza machungu ya kwa kifupi najiona nna maisha mafupi kwa uraibu wa hizi tabia nilizo nazo.
Daah nadhani nahitaji kurudi kwenye mstari..
Unakaribishwa Sana[emoji7]..Daah nadhani nahitaji kurudi kwenye mstari..
[emoji4][emoji4]Ameeen!!!Unakaribishwa Sana[emoji7]..
Karibu tumtumikie Mungu tungali tu hai na vijana.
Ni furaha Mbinguni,Malaika wanashangilia kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja tu anapotubu.
Hujachelewa,usichelewe,muda ni sasa [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanifurahisha sasa naanza kukupenda zaidi[emoji7].[emoji4][emoji4]Ameeen!!!
Ni kweli imani bila matendo imekufa..nami sasa yanipasa niyaishi na kutenda yaliyo mema..Naanza sasa.Unanifurahisha sasa naanza kukupenda zaidi[emoji7].
Ila kumbuka Imani pasipo matendo imekufa[emoji4],inabidi uchukue hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
All the best.Ni kweli imani bila matendo imefuka..nami sasa yanipasa niyaishi na kutenda yaliyo mema..Naanza sasa.
Ni imekufa mkuu, sio imefuka.Ni kweli imani bila matendo imefuka..nami sasa yanipasa niyaishi na kutenda yaliyo mema..Naanza sasa.
Mawazo mengi,nimechanganya K na FNi imekufa mkuu, sio imefuka.
1 na 2 tunafanana, kubeti nilianza 2015 aisee sitaki hata kukumbuka ila kwa kifupi tu tokea 2018 sijawahi beti mpaka sasa naamini nishashinda hiyo vita ila punyeto hata leo napiga mara moja moja japo nimeshaoa tayari.
Huu uzi sio wa kucheka ila nimecheka kinoma..
mkuu kama umeshaoa mara moja moja unapigaje puchu,
ni kwamba labda wife anakuwa hayupo sometime ama huna hamu nae unaona tu bora ujitafune mwenyewe.
Itakuwa upako ulikolea.Mawazo mengi,nimechanganya K na F
Hahahaha....noma sanasiku moja nilibeti nikaliwa laki 6 na 80 elfu kwa siku moja, na siku hiyo ndo mshahara ulikuwa umetoka na kabla sijanunua chakula ndani kodi ya chumba