Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Goli nane za nyeto? Man you need an award. Hii dunia kila mtu ana upumbavu wake, yaani i don't believe kwamba kuna mtu yupo so innocent kiasi kwamba hivi vidhambi vya kudanganya, kuiba, kutukana etc hana, achilia mbali zile kubwa kubwa!

Uzuri unatambua udhaifu wako, ufanyie kazi mzee!
8 mbona kawaida, 12 nimewahi fanya within 14 hrs
 
umenitia moyo ila hujanionesha hatua za kuachana na hizi tabia zinazo niharibia future yangu

Kwa ufupi ni kwamba, hakuna mbinu moja au njia moja pekee inayosaidia namna ya kuachana na hayo mambo kwa kila mtu. Inawezafanya kazi kwa mmoja kwa mwingine isifanye kazi.

Uzuri ni kwamba katika mbinu zote, zinakuhitaji wewe na ziko ndani ya uwezo wako.

Vyote vinaanzia kwenye mawazo yako mkuu. Awazavyo mtu moyoni mwake, ndivyo alivyo (Biblia)
 
8 mbona kawaida, 12 nimewahi fanya within 14 hrs
Jaribu kujifunza kuwa na self control kwa kila unachofanya, kila kitu kinataka kiasi, kula, kulala etc unatakiwa uwe na kiasi. Hata hiyo nyeto inataka uwe na kiasi, wanaume wengi tu wanafanya huo mchezo but once per week au hata mara mbili basi, betting kama unafanya usikubali iwe addiction kwako, do it for fun ili hata siku ukichoka kufanya uachane nayo kirahisi. Danganya lakini for reasonable issues, sio mtu anakuuliza "uko wapi..unajibu nipo magomeni nakuja", kumbe upo home, hiyo inakusaidiaje.
 
Kama bado unaliwa kwenye betting ni dm namba yako ya simu niku add kwenye group la live match betting. Nakuahidi hutajuta
brother betting ni betting.
mimi mwenyewe mdau sana wa live bet kuliko pre-matches lakini kubashiri ni kubashiri tu kwenda oposite ni kawaida.

Nishanunua sana mimi match ambazo ziko fixed kwa mhispaniola mmoja nilikuwa namtumia euro 180 kila wiki ananipa game na zinatoa kweli matokeo yale yale lakini nikaja kuzinguana nae akawanipa game zinachana nikamzngua akani block.

Nabet mimi hadi electronic league zile za dakiki sita game inaisha na umeweka lak 3 ndani ya dakika sita unakuwa ushajua umeliwa ama eme kula.

Lakini intention yangu mi saivi ni kuacha kubeti na siyo kuendelea kubet kwa faida tena.
kwa hiyo siweza kupa namba yangu uendelee kuniua tena
 
hapa kwenye kipengele, unatubu alafu wiki moja ya pili roho inakwambia si u beti leo weekend timu ziko nyingi utakula tu.

Unaweka stake kubwa wanapita nayo unachanganyikiwa unarudi kujipoza kwenye punyeto, then unaanza kujutia mbona nimerudia aisee...mwishowe unajipa moyo eti mungu ananiju nilivyo na madhaifu yangu kayaumba yeye.
Hyo inakuwa addiction iliyokomaa Sala husaidia pia kufanya Mambo ya kuku keep busy na hyo hamu ikikujia unajiforce kutokufamya kabisa it's possible, maana usipoacha maisha yako yatakuja kuwa mabaya mno.
 
MY MONTHLY EARNING.

Naweza kuwa na laki moja nikabet wiki nzima ikafika hadi laki 8 alafu inakuja inakuja inaliwa mara moja tu na kuisha
Sasa kama unaanza na laki inafika laki nane. Ina maana bado hujajua tatizo ni ww. Kwanini usiweke mfumo kuwa ukifika kaisi flani ndani ya muda flani unawithdraw unafanyia mambo mengine?
Kila kitu ni nidhamu hapa ni ww unakosa nidhamu. Huu ndio ugonjwa mbaya sana kwenye betting.
Weka sheria na hakikisha huzivunji.

Ukishindwa kabisa basi jitahidi uache betting.
 
Unaweza kuona ni chai ila mimi ndiyo muathirika ukweli naujua mimi.

Mimi huwa nikiwa na msongo wa mawazo uliopitiliza huwa napiga punyeto kwa kiwango ambacho hata mimi huwa najishangaa, naweza kujifungia geto kuanzia asubuh labda saa nne, nalala kitandani najaza GB 3 nakuwa nipo online kwenye web za porno tu mda wote, wastani kila baada ya saa napiga goli
Mungu akusaidie. Huwezi toka huko mwenyewe hadi Mungu aingilie kati. Pole na imeniumiza sana.
 
siku moja nilibeti nikaliwa laki 6 na 80 elfu kwa siku moja, na siku hiyo ndo mshahara ulikuwa umetoka na kabla sijanunua chakula ndani kodi ya chumba nadaiwa nikasema ngoja nibeti walau ifikike milion moja then ndiyo nifanye mahemezi, nilipe kodi na kufanya mengine madogo madogo, lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah.. Aisee kumbe haya mambo yapo watu wamekuwa walevi wa betting!

Kuna mshikaji mmoja yeye ulevi wake ni haya madubwi ya wachina waliyoyasambaza kila kona ya nchi.
 
Nafikiri wewe kanuni ya "kunywa kidogo ila usilewe" umeweza kuitendea haki.
Mimi nilichokosea ni nimekunywa nyingi alafu nikalewa na kulevuka imekuwa mtihani kwangu, nadhani umenielewa ni wapi nimekosea.
Kuna "Conscious" aina nyingi sana pale SAUT Mwanza ilikiwa usome masomo flani regardless your "Major"
Mosi lazima usome Logic and Reasoning, Pili lazima usome Philosophy, tatu lazima usome Social Ethics ...Naweza sema haya masomo yamenisaidia zaidi kuliko nilichitegemea .. Bless badilika man
 
Kubet kumeanzia ughaibuni.huko kuna maelfu ya kampuni za kubet.
Naomba mnisikilize vizuri gamblers wenzangu:

Betting can be made the regular source of earning if taken cleverly and cautiously.

Ukibet kwa nidhamu huwezi kulia..tafuta odds 2.2 twice a week.
ODD 2.2 ili wakikata kodi zitabaki odds mbili net

Jidhibit, chagua siku 2 ktk wiki za kubet.nje ya siku hizo usibet.
nashauri mkeka mmoja bet jumamosi mwingne bet jumapl.

Usibashiri matokeo (1x2).matokeo yana uncertainities kibao
weka goal options
hasa goal range.

hakuna option rahs kama goal range.range zipo katika seti nyingi hilo unalijua.( 1-2,1-3,1-4,1-5,1-6,2-3,2-4,2-5-2-6)

Kwa mfano: ajax vs willem. hapa kwa culture ya ligi ya uholanzi ambayo huwa na magoli mengi the same to australia, usa, youth competion nk lazima goli lifungwe.

wewe piga 1-6 goal range.atajua yeye huko.
odd yake ndogo lakin ina over 95% accuracy kushinda.

nimesema ajax vs willem= 1-6 goal range
maana yake nini;
matokeo yake kwa over 95% yataangukia within
(1-0,2-0,3-0,4-0,5-0,6-0,

2-1,3-1,4-1,5-1,3-2,3-1,4-2, hizi zote ajax win probabilities)

(Kuna ajax lose ni kinyume cha hapo juu mfano 0-1,0-2,0-3,0-4,0-5,0-6,1-2,1-3,1-4)
(droo za magoli zilizomo ni 1-1,2-2,3-3)
matokeo yoote hayo yameangukia humo.

Odd inaweza kuwa (1.14) weka mechi 5 zenye uelekeo huu tupia zigo lako.
target yako ni kupata two big winnings weekly.baas

kukosa kupo.lakini ktk bets 8 za mwezi, winnings zitakuwa sio chini ya 7.bado tija ipo.
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?

MOJA :KUBETI MPIRA ; Nilianza kubet mwaka 2016 kwa sh 500 tu lengo kutafta walau kutafta hela ya vocha tu kila siku ila leo hii 2021 naweka hadi laki 2, 3,5 mpaka 8 na mikeka inachanika na lengo siyo kutafta tena hela ya vocha bali imekuwa kutafta hela ya maisha,MUNGU nihurumie maana kuna mda naliwa hela nyingi hadi natamani kujiua lakini ghafla najikuta napumua nakuzinduka tena.

MBILI : PUNYETO ; Hii ndo huwa sehemu yangu ya kupunguza machungu baada ya kuliwa hela kubeti.yaani naweza weka laki 5 nikishaliwa naweka GB 3 kwenye simu najifungia geto nacheki video za ngono na kupiga punyeto tu kwa siku nzima najikuta nimepiga goli 8 hadi 12 hadi miguu inaishiwa nguvt nashindwa hata kusimama na nakojoa matone siyo nyege tena.

TATU : UONGO ; Hii imesababishwa kwa kiasi kikubwa na kubeti, pesa ambayo ningewapa wazazi wangu wafanyie mambo ya msingi najikuta nimebetia imeliwa kwa hiyo naanza kutunga stori za kiwango cha digrii ili tu nieleweke ingawa haisaidii kitu maana mwongo mwisho wa siku huumbuka tu.

NNE NA MWISHO : KUTOMCHA MUNGU ; mara kadhaa nimekuwa nikiamini kuwa nikimcha mungu katika usiriazi basi sitabeti,sitapiga punyeto na sitadanganya, lakini nako nashindwa, natubu nakaa wiki moja kama sina hela nauza hata kitu ndani kama sabufa hivi hela nabetia naliwa yote narudi kupiga punyeto kujipoza machungu ya kwa kifupi najiona nna maisha mafupi kwa uraibu wa hizi tabia nilizo nazo.

Mkuu kama huna tabia ya ulevi na wanawake.

Basi huko ulipo upo salama zaidi..
 
Back
Top Bottom