Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

duuh....tatizo lipo mkuu tena kubwa mno
Dah...hamna tatizo....wenzako wanaliwa laki 5 na madem halafu wanaishia kupiga bao 2 tu na kupewa virus...sasa wewe bao 12 zenye usalama unalalamika nini?...

Hata uongo siyo ishu kivilee ....kuna watu mbona laif iko njema tu kwa sababu ya huu uongo unaotaka kuukimbia....tena wanadanganya hadharani....kwa vipaza sauti...mbele ya makamera ...akishawapiga saundi anaingia ndani ya viete...watoto wake wanaenda shule..... Sasa wewe ni nani unayetaka kuuacha uongo mdogo unaokupa hela ya mboga?

Swala la KUMCHA Mungu siyo ishu kivilee...ishu ni kuwa na IMANI ,[emoji2960]
 
Kama tatizo litakua la ki roho kulitatua kimwili hautoweza.

Nimewai kua na tatizo la kamali wakati fulani tena wa stakes kubwa kubwa hizi sikupata chochote zaidi ya msongo wa mawazo na nikasema sasa ngoja nilitatue tatizo ili kwa kujua chanzo ni nini na linatatulika vp? Then nikapata majibu mengi ila moja na kubwa lililonifumbua macho lilikua la kiroho.

Mtu anapokua addicted na kamali sanaa anapaswa kujua kwamba zile ni spiritual attacks na waliodeep na dini wanasema pepo watu wengine wanasema upepo mbaya. Ni kwamba attacks hizo hua ni za kiimani kwa maana Roho zinazozuia matokeo hua zinakua zinatarget uchumi wako moja kwa moja na ili usigundue mara nyingi hua zinakupa na sababu yaan unaona kuna busara ya wewe kufanya ivyo na mara nyingi ni hua ngoja niweke hii hela kusudi nikomboe hela iliyopita. Na ndio maana utashangaa wacheza kamali wala hua hawakosi madili au vijisent vya kupatia mtaji wa kamali.

Hizi spirits zinazofanya ni kukudirect wapi upeleke kila unachopata. Na mpaka unakuja kustuka utakua tayari umekifikia kifo chako sababu kabla kifo hakijatokea uaribu hua unaanza kwanza. Wewe upo katikati ya safari ya kifo sasa ku reverse hio ni lazima utumie nguvu kubwa. Na utajiona kabisaa ata ufanye nini kamali hauwezi kuacha na unaweza kumaliza ata wiki mbili haujabet kabisa ila siku unapita tu unaona labda City anacheza na westbromwich unasema dooh hii 3+ ya bure unaweka akiba yote uliyonayo na game litaisha 1-0 na utajifikiria kwambaa daaah hela yangu nairudishaje?

Unaweka nyingine tena nayo inaondoka sasa unaanza hustles za kuikomboa hizo hela na mwisho unarudia upya tena, kwanini? Ni sababu tatizo lako ni la kiroho ambalo linakuja na busara ya wewe kufanya ivyo. Niliwai kuliwa laki saba toka saa 8:45 mchana hadi saa 1 usiku kisa epl ambapo nilicheza nikaliwa nikasema ngoja nikomboe then nikaliwa ndani ya masaa kama matatu tu iv na hii ndio ilikua mara yangu ya mwisho kucheza kamali maana nilizamilia kweli kweli kuchomoka na kweli nilijua kufanya utafiti wa tatizo nililokua nalo.

Kwenye punyeto unatakiwa ujue wewe tayari una spiritual wifey. Una pepo la ngono ambalo malango yake ni kuangalia movie za ngono na ndio maana utaona duniani almost asilimia 90 mtu atakae ziangalia lazima afanye mapenzi au ajichue basi hakuna lingine. Na ili uyaelewe haya mambo ni lazima ujue kuna ulimwengu wa kiroho ambao ndio mkubwa na kila kitu kinaanzia huko kisha kinakua reflected kwenye ulimwengu wa mwili.

Natamani ningekushauri mengi ila muda huo sina na siwezi kuwasiliana na wewe sababu hua niko bize mno mnoo. Kwako na kwa wengine wenye tatizo kama lako mnaweza kujitibu wenyewe kwa kukubali kwanza kufanya utafiti na ambapo Youtube inaweza kua msaada mkubwa sanaa kwenu kuna mamilion ya masomo ya kamali na ngono na namna ya kujitibu lakini pia mkipata wasaa pitieni Youtube account ya mtu anaitwa Sunbella Kyando huyu ni master kwa hapa Tanzania ktk kudili na matatizo ya imani.

Fanyeni iv ili muokoe nafsi zenu sababu kifo chenu hakipo mbali.
 
Dah...hamna tatizo....wenzako wanaliwa laki 5 na madem halafu wanaishia kupiga bao 2 tu na kupewa virus...sasa wewe bao 12 zenye usalama unalalamika nini?...
Hata uongo siyo ishu kivilee ....kuna watu mbona laif iko njema tu kwa sababu ya huu uongo unaotaka kuukimbia....tena wanadanganya hadharani....kwa vipaza sauti...mbele ya makamera ...akishawapiga saundi anaingia ndani ya viete...watoto wake wanaenda shule..... Sasa wewe ni nani unayetaka kuuacha uongo mdogo unaokupa hela ya mboga?
Swala la KUMCHA Mungu siyo ishu kivilee...ishu ni kuwa na IMANI ,[emoji2960]
Duuh...hii ngumu kumeza ni sawa na kunambia niko sahihi na niendelee tu.
 
Kama tatizo litakua la ki roho kulitatua kimwili hautoweza.

nimewai kua na tatizo la kamali wakati fulani tena wa stakes kubwa kubwa hizi sikupata chochote zaidi ya msongo wa mawazo na nikasema sasa ngoja nilitatue tatizo ili kwa kujua chanzo ni nini na linatatulika vp? Then nikapata majibu mengi ila moja na kubwa lililonifumbua macho lilikua la kiroho.
Mkuu nimetamani nije kwenye pm yako sema ndo umeshanikata upepo kwa kunambia huwezi wasiliana na mimi maana huwa uko bize.

Ila kwa uliyoyaandika naona kabisa unatiba ya asilimia 90 ya uraibu wangu
 
Utani DM namba yako then ntakutafuta nikiwa na muda.
Mkuu nimetamani nije kwenye pm yako sema ndo umeshanikata upepo kwa kunambia huwezi wasiliana na mimi maana huwa uko bize.

Ila kwa uliyoyaandika naona kabisa unatiba ya asilimia 90 ya uraibu wan
 
Vladmir Putina
Hadi hapa, naona kabisa upo kwenye uelekeo mzuri na ndio unafikia tamati aidha kwa ubaya au kwa uzuri.
Kujua kwamba unskosea ni jambo la muhimu sana, kutambua makosa yako na kudhamiria kuyaacha ni hatua ya kwanza.

Kuacha na kuanza kufanya mambo mengine yenye tija ni hatua ya pili.
Ukiweza kuacha, utakua umenufaika wewe na kizazi chako, ukishindwa kuacha ukaendekeza hizi tabia, una mwisho mbaya.

Uzuri ni kwamba, kuacha au kuendrlea na hizi tabia vyote vipo kwenye uwezo wako, ila sio kazi rahisi lakini inawezekana.

Na ieleweke hizo unazopitia ni baadhi tu ya tabia zisizofaa zinazorudisha nyuma maendeleo ya wengi wetu. Kila mmoja anapambana na namna ya kubadilika kwa namna yake.

Jipende mwenyewe. Anzia hapo kwanza.
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?


We jamaa kama mimi aisee, umeniwakilisha vyema nikiona tu lost au not won lazima nijipooze kidogo.
Ila nachoshukuru mi naweza kaa mwezi nisibeti kabisa na stake yangu ya mwisho ni 10k.na hapo naweka 5k odds 3-4 mikeka miwili ikiliwa basi sio bahati yangu.

Japo nakili betting is not for everyone sema shortcut inatuponza vijana japo mi now nacheza kwa starehe machungu yanapungua kiasi na nyeto atleast kwa mwezi mara moja.

Ushauri wa bure kuna msemo maarufu wa betting unasema "Winners never give up and winners know when to stop".
Na huu mwingine wanasema " If you need money don't bet"

Maana yake kama unatafuta hela Kwenye betting huwezi toboa.Fanya kama for fun tu.Kwenye laki tano toa 10k is enough tu kama huwezi kuacha....na malizia kuna namna mbili za kutatua tatizo 1.Ni kulisolve hilo tatizo
2.Ukishindwa kulisolve basi ishi kuendana na hilo tatizo..All the best mkamalia mkuu wa serikali.
Kutoka kwa katibu mkuu wa betting Tz.
 
Kama una bet na unakula mbona fresh ila kama hela ulizoliwa ni nyingi kuliko ulizokula basi tambua bado una hasara kama mimi, na pia kama unawekaga jero ama buku kwenye kubet hata ukiliwa huwezi kuwa na stress kama mimi ninae liwa 500k au 800k.

NB : yote uliyasema hapo ni chukizo kwa mwenyezi mungu,tukaze buti tuache
Naliwa kuanzia 50k mpka 100k kwenye kubet sijawahi bet Zaid ya hapo
 
Goli nane za nyeto? Man you need an award. Hii dunia kila mtu ana upumbavu wake, yaani i don't believe kwamba kuna mtu yupo so innocent kiasi kwamba hivi vidhambi vya kudanganya, kuiba, kutukana etc hana, achilia mbali zile kubwa kubwa!

Uzuri unatambua udhaifu wako, ufanyie kazi mzee!
 
Goli nane za nyeto? Man you need an award. Hii dunia kila mtu ana upumbavu wake, yaani i don't believe kwamba kuna mtu yupo so innocent kiasi kwamba hivi vidhambi vya kudanganya, kuiba, kutukana etc hana, achilia mbali zile kubwa kubwa!

Uzuri unatambua udhaifu wako, ufanyie kazi mzee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sanamu ajengewe
 
Niliambiwa hili neno nikalifanyia kazi ikanisaidia

Mimi nilishaanza kupotea kuliko huyu mleta mada

Anasa zinatuaharibia future sana na kutupotezea muda

Kweli ukimcha Mungu ipasavyo mambo yanaenda vizuri.
Kumcha bwana husaidia kwenye self control maana Mambo ya duniani ukiyaendekeza ni anasa na mwisho kuangukia shimo la uharibifu
 
We jamaa kama mimi aisee, umeniwakilisha vyema nikiona tu lost au not won lazima nijipooze kidogo.
Ila nachoshukuru mi naweza kaa mwezi nisibeti kabisa na stake yangu ya mwisho ni 10k.na hapo naweka 5k odds 3-4 mikeka miwili ikiliwa basi sio bahati yangu.

Japo nakili betting is not for everyone sema shortcut inatuponza vijana japo mi now nacheza kwa starehe machungu yanapungua kiasi na nyeto atleast kwa mwezi mara moja.

Ushauri wa bure kuna msemo maarufu wa betting unasema "Winners never give up and winners know when to stop".
Na huu mwingine wanasema " If you need money don't bet"
Maana yake kama unatafuta hela Kwenye betting huwezi toboa.Fanya kama for fun tu.Kwenye laki tano toa 10k is enough tu kama huwezi kuacha....na malizia kuna namna mbili za kutatua tatizo 1.Ni kulisolve hilo tatizo
2.Ukishindwa kulisolve basi ishi kuendana na hilo tatizo..All the best mkamalia mkuu wa serikali.
Kutoka kwa katibu mkuu wa betting Tz.
Wewe umemudu at least haujaingia kwenye uraibu bado
 
Kumcha bwana husaidia kwenye self control maana Mambo ya duniani ukiyaendekeza ni anasa na mwisho kuangukia shimo la uharibifu
Hapa kwenye kipengele, unatubu alafu wiki moja ya pili roho inakwambia si u beti leo weekend timu ziko nyingi utakula tu.

Unaweka stake kubwa wanapita nayo unachanganyikiwa unarudi kujipoza kwenye punyeto, then unaanza kujutia mbona nimerudia aisee...mwishowe unajipa moyo eti mungu ananiju nilivyo na madhaifu yangu kayaumba yeye.
 
Vladmir Putina
Hadi hapa, naona kabisa upo kwenye uelekeo mzuri na ndio unafikia tamati aidha kwa ubaya au kwa uzuri.
Kujua kwamba unskosea ni jambo la muhimu sana, kutambua makosa yako na kudhamiria kuyaacha ni hatua ya kwanza.
Umenitia moyo ila hujanionesha hatua za kuachana na hizi tabia zinazo niharibia future yangu
 
Kama bado unaliwa kwenye betting ni dm namba yako ya simu niku add kwenye group la live match betting. Nakuahidi hutajuta
 
Back
Top Bottom