Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Kubet kumeanzia ughaibuni.huko kuna maelfu ya kampuni za kubet.
Naomba mnisikilize vizuri gamblers wenzangu:

Betting can be made the regular source of earning if taken cleverly and cautiously.

Ukibet kwa nidhamu huwezi kulia..tafuta odds 2.2 twice a week.
ODD 2.2 ili wakikata kodi zitabaki odds mbili net

Jidhibit, chagua siku 2 ktk wiki za kubet.nje ya siku hizo usibet.
nashauri mkeka mmoja bet jumamosi mwingne bet jumapl.

Usibashiri matokeo (1x2).matokeo yana uncertainities kibao
weka goal options
hasa goal range.

hakuna option rahs kama goal range.range zipo katika seti nyingi hilo unalijua.( 1-2,1-3,1-4,1-5,1-6,2-3,2-4,2-5-2-6)

Kwa mfano: ajax vs willem. hapa kwa culture ya ligi ya uholanzi ambayo huwa na magoli mengi the same to australia, usa, youth competion nk lazima goli lifungwe.

wewe piga 1-6 goal range.atajua yeye huko.
odd yake ndogo lakin ina over 95% accuracy kushinda.

nimesema ajax vs willem= 1-6 goal range
maana yake nini;
matokeo yake kwa over 95% yataangukia within
(1-0,2-0,3-0,4-0,5-0,6-0,

2-1,3-1,4-1,5-1,3-2,3-1,4-2, hizi zote ajax win probabilities)

(Kuna ajax lose ni kinyume cha hapo juu mfano 0-1,0-2,0-3,0-4,0-5,0-6,1-2,1-3,1-4)
(droo za magoli zilizomo ni 1-1,2-2,3-3)
matokeo yoote hayo yameangukia humo.

Odd inaweza kuwa (1.14) weka mechi 5 zenye uelekeo huu tupia zigo lako.
target yako ni kupata two big winnings weekly.baas

kukosa kupo.lakini ktk bets 8 za mwezi, winnings zitakuwa sio chini ya 7.bado tija ipo.
Mkuu kijana ameomba namna ya kuacha, lakini naona kama unamuongezea madini kwenye betting ..
 
Unaweza kuona ni chai ila mimi ndiyo muathirika ukweli naujua mimi.

Mimi huwa nikiwa na msongo wa mawazo uliopitiliza huwa napiga punyeto kwa kiwango ambacho hata mimi huwa najishangaa, naweza kujifungia geto kuanzia asubuh labda saa nne, nalala kitandani najaza GB 3 nakuwa nipo online kwenye web za porno tu mda wote, wastani kila baada ya saa napiga goli mbili, mle ndani hakuna ninachoangalia zaidi ya video za ngono, kwa sababu ya stress naweza kuja kuamka saa mbili au saa nne usiku na kumbuka ni since morning nipo ndani, na mpaka niamke ni kwamba uwezo wa kupizi tena sina kwa hiyo naamka kila kiungo cha mwili kinauma kwenda tu bafuni naenda nayumba kama mlevi aliyezidiwa pombe na nikishaoga ndo network zinaanzaga kurudi na naanza kujutia kitendo nilichofanya.

Kuna siku nililiwa hela ya ada ya chuo kwenye kubeti na mitihani imekaribia, nilijifungia geto kwa hasira nikaanza kuchek porno na kupiga punyeto tu nakumbuka nilipiga bao 12 siku hiyo mpaka nikawa nachechemea kusimama siwezi, mashine yangu ilichubuka ikawa na kitonda kabisa lakini bado nikawa napiga hivo hvo hata maumivu nikawa sihisi tena, na mimi kwenye suala la nyeto huwa situmii kilainishi chochote huwa ni mkono mkavu.
😂😂😂😂😂 wewe unahitaji msaada mkubwa sana mkuu.
 
Kuna "Conscious" aina nyingi sana pale SAUT Mwanza ilikiwa usome masomo flani regardless your "Major"
Mosi lazima usome Logic and Reasoning, Pili lazima usome Philosophy, tatu lazima usome Social Ethics ...Naweza sema haya masomo yamenisaidia zaidi kuliko nilichitegemea .. Bless badilika man
ndiyo hapo hapo nimesoma SAUT MALIMBE na ndiyo hapo nimejifunzia kubeti nikaliwa ada mwishoni mwishoni mwaka wa 3 na final exam (UE) ya second semester nikanyimwa sikufanya coz sikumaliza ada
 
PUNYETO ; Hii ndo huwa sehemu yangu ya kupunguza machungu baada ya kuliwa hela kubeti.yaani naweza weka laki 5 nikishaliwa naweka GB 3 kwenye simu najifungia geto nacheki video za ngono na kupiga punyeto tu kwa siku nzima najikuta nimepiga goli 8 hadi 12 hadi miguu inaishiwa nguvt nashindwa hata kusimama na nakojoa matone siyo nyege tena.
Legend🤠🤠
 
Unaweza kuona ni chai ila mimi ndiyo muathirika ukweli naujua mimi.

Mimi huwa nikiwa na msongo wa mawazo uliopitiliza huwa napiga punyeto kwa kiwango ambacho hata mimi huwa najishangaa, naweza kujifungia geto kuanzia asubuh labda saa nne, nalala kitandani najaza GB 3 nakuwa nipo online kwenye web za porno tu mda wote, wastani kila baada ya saa napiga goli mbili, mle ndani hakuna ninachoangalia zaidi ya video za ngono, kwa sababu ya stress naweza kuja kuamka saa mbili au saa nne usiku na kumbuka ni since morning nipo ndani, na mpaka niamke ni kwamba uwezo wa kupizi tena sina kwa hiyo naamka kila kiungo cha mwili kinauma kwenda tu bafuni naenda nayumba kama mlevi aliyezidiwa pombe na nikishaoga ndo network zinaanzaga kurudi na naanza kujutia kitendo nilichofanya.

Kuna siku nililiwa hela ya ada ya chuo kwenye kubeti na mitihani imekaribia, nilijifungia geto kwa hasira nikaanza kuchek porno na kupiga punyeto tu nakumbuka nilipiga bao 12 siku hiyo mpaka nikawa nachechemea kusimama siwezi, mashine yangu ilichubuka ikawa na kitonda kabisa lakini bado nikawa napiga hivo hvo hata maumivu nikawa sihisi tena, na mimi kwenye suala la nyeto huwa situmii kilainishi chochote huwa ni mkono mkavu.
Duuh..we jamaa kiboko unasifa zote za kuwa rais wa chaputa😂😂😂
 
Kama ni jana ndiyo umeacha basi wewe mkuu hujaacha bali umepumzika tu kidogo.

Kama unaona kutania utakuja kunambia, labda uwe ulioa jana pia ndio utaacha.

Niliwahi kuacha punyeto kwa siku 23 lakini bado nilirudi mzigoni na nilirudi kwa gia kwamba ngoja nipige moja tu kupunguza uzito kidogo lakini ndiyo ikawa moja kwa moja tu.
😂😂😂
 
Hapo ndio Utajua nyeto haiachwi, ni wengi tu ambao tukikubwa na stress pakuzipungizia ni kwenye nyeto na wakat huo sio kwamba demu huna yani wapo kama Mia nane nikitendo Cha kupga cm lkn unajikuta tu umeshajitafuna mwenyewe
 
Kama ni jana ndiyo umeacha basi wewe mkuu hujaacha bali umepumzika tu kidogo.

Kama unaona kutania utakuja kunambia, labda uwe ulioa jana pia ndio utaacha.

Niliwahi kuacha punyeto kwa siku 23 lakini bado nilirudi mzigoni na nilirudi kwa gia kwamba ngoja nipige moja tu kupunguza uzito kidogo lakini ndiyo ikawa moja kwa moja tu.
Aisee nikweli mkuu. Nilijikaza siku mbili tuu, tokea jana nimerudi mule mule kwa kasi ya 4g. Kweli punyeto ni mpango wa Shwetani.
 
Back
Top Bottom