Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Chai ya moto sanaaaa, Wanaume wengi tushawahi piga punyeto ila mara nyingi bao moja tu, kwanza likishatoka utaki hata kuendelea...huyu nane, nimesoma nikasema hiiiiiiiiiii hahahah
Wewe hujapiga nyeto hebu kutana na watu tulio kua hatupendi madem hata saba kwa siku unapiga maana nguvu za kiume zipo nikutafuta tu unataka umkanyage nani kimawazo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila mtu ashinde mechi zake...

Ganja nilishaacha,
Kununua malaya nilishaacha,
Bolibo/Dubwi la mchina nilishaacha,
Makato/Nje ndani(Kamari ya karata) nilishaacha,
Kubeti sibeti

Kinachonisumbua kwa sasa:

Ulevi-Konyagi, bia, K-vant japo sio kila siku, kupiga kiberiti hata hela ya malengo hii imetokea mara nyingi sana.

Umalaya- Kutongoza mademu wengiwengi, wengine napiga(hela lazima kama muwajuavyo wanawake), wengine wananipuna vihela vya vocha tu na bila hata kuwagonga.

Fegi(Sigara)- Hapa nasumbuka pia, inaweza kuwa usiku nikishavuta fegi, naapa nasema kesho sivuti kabisa, ajabu yake ikifika asubuhi najikuta niko dukani nanunua Embassy nasema navuta hii tu, kutwa nzima ni fegi mpaka usiku tena

Mtoa mada shinda mechi zako, nishinde zangu
 
Pole sana kijana...

I thank God sahv mimi sio mlevi wa kitu chochote kile[emoji120]

Nitarudi kukupatia ushauri badae insh'Allah..!! hope utakusaidia kwa kiasi kikubwa sana maana nilikua muhanga some years past.. [emoji67]‍🦯

Tusherehekee Eid kwa utulivu.

Eid-El-Adha Mubaraq [emoji120]
 
Unaweza kuona ni chai ila mimi ndiyo muathirika ukweli naujua mimi.

Mimi huwa nikiwa na msongo wa mawazo uliopitiliza huwa napiga punyeto kwa kiwango ambacho hata mimi huwa najishangaa, naweza kujifungia geto kuanzia asubuh labda saa nne, nalala kitandani najaza GB 3 nakuwa nipo online kwenye web za porno tu mda wote, wastani kila baada ya saa napiga goli
Naamini usemayo
 
Aisee..!! Pole sana mkuu View attachment 1849904
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?
Aise. Goli la 12 unapizi nini sasa? Moshi[emoji848]
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?


Pole sana,hapo kwenye video za xxx,tupo wengi,tangu nimeanza kusikiliza mahubiri ya pastor T Mwangi,kutoka Kenya,nimeanza kuwa na hofu ya Mungu,na uwezo wa kujizuia kuangalia umeongezeka,am not out of woods yet,but am getting there,
Hivi vitu vingine ni spirits/pepo ni uwezo wa Mungu tu,unaoweza kukuokoa
 
Una mke?

Suluhu ya matatizo yako ni kuanzia 4 kurudi chini, nakueleza hivi nikiwa nina experience ya kutosha, nimebet toka 2011-12 hivi mpaka 2018-19 hivi, kuna uzi humu nilielezea vizuri, kuna mtu alikuwa anahitaji kuacha.

1. Anza kufanya ibada.. Mimi muislam na mtume s.a.w anasema ibada ya kweli(ikifanya kwa dhati kabisa) inamfanya mtu kuacha mabaya.. So anza na kufanya ibada.

2. Kuwa mkweli, usiogooe kusema ukweli, washirikishe watu wa karibu, mimi nilifikia hatua ya kumueleza mama yangu mzazi hali halisi, nashukuru alinipokea, ila kwake nilienda kumueleza nikiwa nishaacha na kuanza kusali, lakini kuna matukio na baadhi ya pesa zake niliwahi kutumia kwenye betting ikabidi nimueleze ukweli.

3. Kama huna mke ni bora uoe hii inaweza kukusaidia kuacha nyeto na betting pia, mzee kama huna mke kuacha nyeto ni kazi kubwa, unaweza ukaacha bet lakini sio nyeto.

Zingatia hayo.. Mungu akutangulie.
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?
Hizo mbona ni tabia za kawaida kabisa kwa vijana wa karne hii. Mimi ninatabia zingine ni mbaya kuliko hata kuandika hapa siwezi labda nibadili ID
 
Back
Top Bottom