Mwanaume wa shoka anaweza akayafanya haya???Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mwanaume wa dsm na hisia zao utawajua tuNaona kila tukiwajadili wasanii wetu mnatutukana mara hatutaki kazi tumekalia umbea sijui, mara tunashinda vijiweni na kwenye ma pool table kumjadili Dai na Wema na Kiba na Zari na Chidi na Le Mutuz na mastaa wengine
Sasa mnachoshindwa kujua ni kuwa hawa wasanii ni public property, tunamaslahi nao kwasababu wanatuhusu tunasikiliza nyimbo zao tunaangalia muvi zao na tunaudhuria Party zao(refer ya Le Akili Kubwaz pale Kempinsky) tuna haki wa kuwa Diss-cuss.
Naomba mtuache na uanaume wetu wa Dar.
Wanaume wa Dar woyee!
Kwa tafsiri hiyo basi Dar wapo wachache sana wale wa ocean road enzi hizo.mastaa wengine wametokea bara kina mrisho ngassa
wana olewa na wanawake wenye pesa(mario)-wana.........[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Tusiresi tutatu mura...Wanaume wa dar wazee wa chips mayai....
Kila sehemu Tanzania ina MJI IlaNliona mmoja baada ya wife wake kumaliza kutengenezwa kucha eti na yeye akatengenezwa Af ni bar
Mtu wa DAR ni Kama Yule MUROkwani mtu wa dar ni yupi?
ona huyu mvulana wa dar alietahiriwa na mama yake anajitutumua kuongea ma wanaumeNashukuru watu wa kilimanjaro kwa kunielewa na kukaa kimya,nisione kati yenu mtu anaingilia huu mjadala.
Kazi nilipata na work station ilikua huku huku Mwanza, sema offer yao nikapiga chini haikua tofauti sana na hapa nilipo. Barua yao ipo kwenye makabrasha ya kumbukumbu zangu....ukiwa talented unaringa pia.lakini kazi si ulipata mkuu...
Tena Hata kuoga wanaona shida, unapishana na mtu anastink ka nn, wanaume wa dar endeleeni kujipenda mpendeze mwaya tunawapenda hivyo hivyo Hata wakiwasema wadhaifu, bao moja kwa afya! Mapenzi sio vita mpaka ule ugali Sinia zima. Wanaume wa bara sio romantic lol😀Mimi sijawahi kuona watu wenye wivu kama Wanaume wa Bara...
Alafu ni washamba vibaya mno
Hahahaha! Umenikumbusha kitu ndugu yangu....kipindi cha xmass nilienda Maswa nyumbani kwa colleague wangu wa kazini. Babu yake ni mganga wa kienyeji....kiutani utani tu nikamwambia babu hebu nifanyie maneuver maana naona life silielewi elewi.Tumewakosea, tumewakosea sana! tena inabidi kuwaomba msamaha, wanalea watoto wetu majumbani mwao bila kujua mtusamehe tu maana hakuna namna tunanusuru ndoa zenu! .
Duh.. Jamaa ni lainiii.. Tatizo wanakula urojoDar hiyo ndugu yangu.
Then wanakimbia panya road.. Aisee wanaume wa darTusiresi tutatu mura...
Sasa kosa lake nini?mtu kama kaamua maisha yake yako dar mfano diamond,ally kiba,fidq,kina bele 9 na wengine wote wana origin zao,hawa nao ni wanadrsm au huui kua dar ndio tanzania?
Watu wa mikoani wanafurahisha........Kwa tafsiri hiyo basi Dar wapo wachache sana wale wa ocean road enzi hizo.