Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Wanaume wa Dar c ndo hawa!!?
 

Attachments

  • 1459099285939.jpg
    1459099285939.jpg
    48.5 KB · Views: 30
Hahahaha eti sauti kama Wema Sepetu,

Wapiiii wanaume wa Dar mbona hamjibu mapigo?
 
Ha ha ha haaaa, kweli unahitaji macho tu.. Asante mkuu, wamekusikia watabadilika ili watuwakilishe vzr maana hawa ndo Tanzania (they said).
 
Ni kweli mkuu baadhi ya wanaume wa Dar Wakija mikoani wanapenda kulelewa kwa mfano hapa arusha wanaume wa Dar Wengi Wao wana tabia ya kulelewa na wanawake alafu ni wambea yani kila kitu ukimwambia anasema , mwanau Hawez hata kujishughulisha anamtegemea mwanamke yy anachojua ni mechi ya 6 x 6 na ukikaa vibaya anatembea had na marafiki zako. Hapa arusha wanawake Wengi wanalalamika kuwa wanaume wa Dar wanapenda kulelewa. Na ukiishiwa wanakuacha wanahamia kwa mwanamke mwingine.
kwa uzoefu wangu kwa jiji la arusha wanawake ndio wanafanya kazi kuzidi wanaume. wanaume wa arusha ndio wanatabia za kulelewa na kushinda kwenys mabanda ya pombe na bar alafu wanaume wa arusha ni wambea kuliko wanawake wao
 
wanaume wa daslamu wengi wao wanapenda sana umbea wa instaglamu....na wanapenda sana kudiscus wakina wema sepetu.....
 
wanaume wa Dar wanabishania timu za mpira za ulaya utadhani ndo makocha wa hizo timu.
 
Jamani mbna inajulikana hata mikoani kunawatu wenye tabia hizo. Bila shaka huyu mleta mada kafanywa vbaya na vjana WA DAR
 
Wanaoharibu Dar ni hao wanaume wanaotoka mikoani kama wewe na kizamia... ndiyo chambo.. hawajielewi wala kuelewa chochote...
 
Hicho ndo kilichokukimbiza, yaelekea ulikuwa unapenda kuchunguzachunguza maisha ya watu wakaamua kukufungia kazi na kukuomba nyuma,

Na ole wako ungekuwa mnywa pombe ukapewa ofa ukaikubali, lazima ungetafunwa

Una bahati sana, siku nyingine uwe mwangalifu, usidhani kukunja ndita usoni ndo watu tutakuogopa, tunakufumua tu, sura inafunikwa na gazeti
Amesahau kuwa japokuwa simba ni mkali huwa anazaa
 
Habari za mchana mabibi na mabwana. Nina uhakika leo wengi mpo nyumbani au mmeenda matembezini kujinafasi na hii sikukuu ya Pasaka. Wengine pia mpo kazini mkipiga kazi.

Sio lengo langu kuongea kuhusu watu hasa wanaume, na sisi vijana wa shoka ambao ni wa "mkoani" kama tunavyoitwa na wana Dar slum SIO HULKA YETU ila kwa sababu ni wanaume wa hapa Tanzania, tunaguswa na kushangazwa na mienendo ya wanaume wa Dar slum.

Baada ya kuwepo Dar Slum kwa muda wa mwezi mmoja nikifuatilia dili langu fulani, hatimaye nilifanikiwa na kurudi mkoani.

Ila ukweli ni kwamba nimeshangazwa sana na wanaume wa Dar. Asilimia 90% wana haya yafuatayo ambayo kwa mwanaume wa kawaida rijari kama sie wa mikoani huwezi tukuta na hizi tabia;

Wanaume wa Dar Slum:

1. Wanawake wao wanalalamika hawawaridhishi kitandani,

2. Wengi wanalia lia tu kila wanapoombwa hela na wapenzi wao, eti wanataka usawa,

3. Wengine wamewekwa ndani na wanawake, yaani wanalelewa.

4. Wana vitambi, yaani unakuta kijana mdogo kabisa na ni mwembamba ila kitambi hicho,

5. Wanatinda nyusi,

6. Nao wanaoshwa kucha za miguuni na wanaume wenzao.

7. Wanalia lia hamna kazi ila wanachagua kazi za kufanya,

8. Unakuta jibaba zima liko juu ya miaka 25 ila linakaa kwa baba na mama au bado ni tegemezi,

9. Wako dhaifu sana, hawana tabia ya kufanya mazoezi ya kuimarisha afya, wakivamiwa makwao ni full kukimbia kuomba misaada kwa majirani ambao nao ni wanaume wale wale, kitu ambacho sisi wanaume wa mikoani kama kuna ishu ya mabavu na busara huwa tunaimaliza kishujaa,

10. Wanaogopa kuja MIKOANI ambako ndo kuna hela,

11. Makaka poa wapo kila kona na wanaume wengine wanaona eti ni kawaida kuwa Mungu aliwaumba hivyo,

12. Wavivu, unakuta yupo ktk basi na kuna foleni yeye anaenda sehemu ambayo ni kama mita 300 toka liliposimama basi ktk foleni ila yuko tayari asubiri hata dk 50 ndani ya basi.

13. Wanaume Wenye magari wanatembea na madumu ya mafuta,

14. Wachafu, Ukienda mahali wanapoishi kwa wale walio mabachelor ni kama zizi la ng'ombe,

15. Wanaume wanakojoa kojoa popote tu barabarani kama mbwa,

16. Kwa wale vijana unakuta kavaa suruali kaweka chini ya makalio na anaona ni sawa tu kuonyesha nje nje nguo yake ya ndani tena chafu,

17. Unakuta wanaume wenye familia jioni wamekaa kwenye kahawa na kashata wanaongea umbea,

18. Etc

Kwa kweli nimeshangazwa sana na hawa wanaume wa Dar, hayo ni baadhi ya mapungufu yao, ila yako mengi sana!

Na jiji lenyewe ni KERO. Isiponyesha mvua ni jua kali, joto foleni na vibaka, ikinyesha mvua ni matope, madimbwi ya maji hadi mjini posta.

Kwa kifupi, wanaume wa Dar Slum mjirekebishe, wanaume hatitakiwi kuwa hivyo! Mtuige sisi wa mkoani.
Mwezi mmoja umeyajua hayo yote?kaka taratibu
 
Hawa hapa wanaume wa Dar au sio!!? Ha ha haaaa, ngoja nikuwekee uone makalio yao utayapenda
 

Attachments

  • 1459107128476.jpg
    1459107128476.jpg
    34 KB · Views: 26
PANYA ROAD nasikia wanakimbiza na kufunga mtaa. Inakuaje na wanaume wa Dar wanakua wapi mda huo? Ha ha ha ha haaaa! Nasikia ndio maana Police huchukuliwa wanaume wa Dar, ila JWTZ wanachukuliwa Mikoani. Basi jamaa watakua na sababu za msingi zaidi.
 
Back
Top Bottom