NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,391
Watu wanabahati yakupelekwa madukani na waume zao,mie naenda mwenyewe na wanangu na hata tukisafiri tukienda shopping yeye atabaki coffee shop mie nafanya shopping,kisingizio anataka niingie duka moja la pili ninunue sio nizunguke
mwisho sinunui nikirudi hotel naanza kusema "Yaa Umriii nimeipenda ile nguo ya Red" ilo jicho analonitizama mpaka naona
Aibu sasa bora anipe Pesa niende tu mwenyewe ....
mwisho sinunui nikirudi hotel naanza kusema "Yaa Umriii nimeipenda ile nguo ya Red" ilo jicho analonitizama mpaka naona
Aibu sasa bora anipe Pesa niende tu mwenyewe ....