msomi duni
Member
- Apr 11, 2024
- 90
- 301
Tuletee bac hio mada ya maana bac😆 kama huna tuendelee changia za kipuuzi kama hiiSiku hizi hapa JamiiForums ni kujadili ujinga ujinga tu. Ishu ya ubaguzi wa kikabila ni ya kujadiliwa kwenye forum kubwa kama hii?
Nashangaa JamiiForums wanaacha mada kama hizi zijadiliwe kichuki chuki na kufuta mada za maana
Pole sana, kwa mapito magumu shukuru Mungu u mzima wa afya yatoshaDah aiseee we jamaa huu uzi ungekuwa research ningekupa A maana ina ukweli kwa asilimia 99, mi niliishia stage za mwanzo na bahati nzuri nilizaa nae ila tuligawana kila kitu namshukuru Mungu nilichukua watoto wangu saivi najikongoja kuanza upya maisha
Kabisa. Hii nakuunga mkono. Na ukicheka nae hautaamini namna atakuendesha. Mimi huu upuuzi huwa siruhusu.Halafu wapare ni viburi sana na wana tabia ya kutaka kumpanda mwanaume kichwani.
Haujawahi kuona anapikiwa chakula halafu mpishi anakwambia mimi nimeshakula au nimeshiba?Kwan hvyo vyakula na ye mwanamke si anakula?, kwa nn ye haugui?
Kuna majitu ni majinga sana mzee. Yaani ukikuta linavyojisifu eti mke mpambanaji sasa wewe unatarajia anakupambania wewe kabisa yaani wewe uneemeke kabla ya watoto na familia yake? [emoji848]Kweli yaani. Afu unakuta mwanaume anajisifu nimepata mke mpambanaji,[emoji1787] hivi unajua uyo mwanamke anapambania nini. Hiv unajua kuwa anapambana na wewe akupiku afu unamsifu ulivo jinga[emoji1787]
Acha tu mzee.sasa kilichonisaidia ni kusikia mazungumzo yake na mama yake akimuuliza demu anarepoti kama mpelelezi aliye kwenye special Covert mission [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetisha
Maneno matupu hayalipi deni, weka matendo palipowekwa maneno. Sisi ukituambia wanawake wa kichagga wa leo si wa mwaka jana tunaamini vipi ? [emoji848]Humu Kila mwaka tunasemwa.Tupeni break jamani.Mambo yanabadilika wachaga wa Jana sio wa Leo.
Utadhani hapo Rombo wanakaa wamakua au wahehe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata WAROMBO? Yaani hapa ni sawa na kuuliza vumbi stoo ya mkaa[emoji38]
Hii ni Jamii forum na hili ni swala la kijamii sasa sijui wewe nini ambacho kinakutatiza.Siku hizi hapa JamiiForums ni kujadili ujinga ujinga tu. Ishu ya ubaguzi wa kikabila ni ya kujadiliwa kwenye forum kubwa kama hii?
Nashangaa JamiiForums wanaacha mada kama hizi zijadiliwe kichuki chuki na kufuta mada za maana
Huko aliko maisha yake yakoje mkuu?Dah aiseee we jamaa huu uzi ungekuwa research ningekupa A maana ina ukweli kwa asilimia 99, mi niliishia stage za mwanzo na bahati nzuri nilizaa nae ila tuligawana kila kitu namshukuru Mungu nilichukua watoto wangu saivi najikongoja kuanza upya maisha
Kuhonga na honga na hatangulii mtu ... akizingua anakula makofi akalilie kwao machameMshazoea kutuchezea vyasaka, tunatafuta wote mkizipata mnaanza kuhonga na kutapanya Mali za familia.....wanawake wakichaga hawataki ujinga, wanalinda utajiri wa watoto.....Bora utangulie Kwa Mungu ili watoto waishi vizuri, kuliko kuhangaika huko urogwe watoto wageuke machokoraa...
Wamama wa kichaga mitano tena
Hii story ilitakiwa uitengenezee uzi kabisaMe nilichomoka katika huu mtego nikiwa nimekaa na mtu tena tunadate tunamiezi kadhaa hata mwaka bado. Akawa anajileta sana kutaka kujua nafanya nini na anadadisi ile utadhani katumwa hadi nikaona sio kawaida maana kama mahitaji nampatia, kama ni swala la kujua nafanya nini ni mimi nitamshirikisha nitakapokuwa tayari.
Ila sasa kilichonisaidia ni kusikia mazungumzo yake na mama yake akimuuliza demu anarepoti kama mpelelezi aliye kwenye special Covert mission. Nikaona hapa kuna kitu hakipo sawa ingawa sio shida mtoto kuongea na mama yake but why mama yake awe curious vile na maisha yetu.
Sasa kuna siku tulikuwa tunapiga story tu akaniletea story za ujenzi wakati mimi niliongelea kupanga nyumba kubwa yaani ile nasema hapa hadi mwaka kesho mwishoni tujiandae kuhamia nyumba ya vyumba viwili vya kulala sehemu fulani kutoka hapa pa sasa chumba na sebule tu.
Yeye akaanza kushauri kwann tusijenge kabisa, nikamwambia kujenga kwasasa bado maana hakuna ulazima huo me naona ni kuzika pesa. Yeye akawa kama napigia kura kujenga tena nyumba ya vyumba vitano. Mmmmmmhmn
Me nikamuuliza mavyumba yote ya kazi gani hayo, akanambia si wageni wakija. Nikaona hapa kipengele hiki, kwenye kujielezea akaropoka kuwa anapenda kukaa karibu na mama yake na wadogo zake.
Nikawa naitikia tu kwa kumsapoti kuwa ni wazo zuri sana. Nikaona huyu hanijui vema. Yaani mimi naplan maisha kwaajiri yetu na wewe kumbe wewe unaplan maisha ya kwako na familia yako ulipotoka, kwan mimi sina ndugu wa kujenga nyumba niishi nao.
Niakashaona tu huyu kumshirikisha kwenye maisha yangu baadae kutakuwa na changamoto ambazo zinaepukika kwa urahisi muda huu ila baadae zitakuwa zimeshashika mizizi na itakuwa ni gharama sana kutoka.
Tulikuja kupeana space tu baadae na story iliishiaga hapo.
Mungu awabariki sana Zemanda na Financial kwa michango mizuri mnayotoa.
Yote mliyosema yana ukweli kwa 98% ila sasa kuna watu ambao wapo ktk penzi na wakiambiwa haya hawawezi kuelewa.
Wasichokijua ni kwamba, sisi tunayasema yote haya kuhusu hili kabila sababu tumeyaona mengi na wengine tumewahi kuwa nao ktk mahusiano.
Vijana wa kiume, wanaume wenzetu, ninawasihi saaana msijaribu kuingia ktk hilo kabila.
Pamoja sana🙏Mungu awabariki sana Zemanda na Financial kwa michango mizuri mnayotoa.
Yote mliyosema yana ukweli kwa 98% ila sasa kuna watu ambao wapo ktk penzi na wakiambiwa haya hawawezi kuelewa.
Wasichokijua ni kwamba, sisi tunayasema yote haya kuhusu hili kabila sababu tumeyaona mengi na wengine tumewahi kuwa nao ktk mahusiano.
Vijana wa kiume, wanaume wenzetu, ninawasihi saaana msijaribu kuingia ktk hilo kabila.
Pia ni MASTER PLAN ya wanawake kutoka NTUZU, SimiyuWanisamehe nimevujisha master plan yao ya 20 years of marriage wanarudi kwao na mali 😆😆😆
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote
2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia upendo wake fake.
3. Anakuzalia watoto na kukupiga kampani sana katika shughuli zako kiasi kwamba unaweza usitokee kazini na mambo ya kaenda kumbe lengo lake ajimilikishe biashara yako akutawale.
4. Anatengeneza mazingira ujione unauhitaji wa kutanua biashara au ufungue nyingine sababu ya vijikero unavoviona pale kazin kwa kuwepo yeye kwa mitego alosuka ye mwenyewe
5. Anakushawishi ufungue biashara na ukifungua tu anakushawishi hadi anamleta mdogo wake toka moshi asimamie kisa hana kazi kumbe ndio unazidi jiuza utumwani we mwenyewe
6. Ukifika hii stage hapo ndio unakuwa umejikaanga😆 kila ukitaka kufanya kitu mpaka uwape taarifa hata ukitaka hela kwa matumizi binafsi lazima uwaombe wao maana we ushatawaliwa kisaikolojia ukikosea tu home kote wana kununia na kila ofisi wanalipoti tukio lolote kwa mke hadi ukikohoa kazini chini chini wanapeleka taarifa kwa mkeo. Hapa wanaanza kukuwinda nyezo zako unaanza jiua mwenyewe kisaikolojia mawazo hapa ndio dalili mbaya. Ukifika hii stage unawindwa ukosee uonekane we ndio chanzo. Jirinde sana kwenye hii stage usichepuke ukijichanganya umekwisha
7. Ukifika hii stage sasa ndio huna umuhimu waweza fanyiwa chochote ndio . Wanaanza rasmi anzisha migogoro ili wakupoteze wabaki na mali.
8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu
NB ukitaka jua uko stage gani angalia ndugu zako wanaokuja kwako kama wapo wengi jua upo stage 1 kama wanaongezeka upo stage 2 wakianza pungua upo stage 3 na kuendelea.
Naomba thread hii isindikizwe na wimbo wa Chike ft Mohbad- Egwu
Aiyeeee Aiyeeee Aiyeee Aiyeeee Uuuuuu Uuuu Uuuuu Aiyooo Iyoooo Uuuuu🎶🎶🎶