safi sana umekuwa na moyo wa chumaβΊοΈNacheka kwa sababu nilishapita humo ila 3yrs hapana π
Leo nikiwa natoka ibada night nimekutana na Ke mmoja nae alikuwa na mitabia hiyo hiyo nilishamsotea sana ila now naona kawaka.
Badili bed iwe 6x6 mbona atatuliaπ€Bora hata parachichi ntamnunulia! hv ushawahi kutana na mtu huelewi anataka nini? Hela unampa, usafiri unajitahidi hata kama huna gari ila anasafir vzr, kule 6Γ5 unajitahidi lkn waaaaapi
Ukiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.Bora hata parachichi ntamnunulia! hv ushawahi kutana na mtu huelewi anataka nini? Hela unampa, usafiri unajitahidi hata kama huna gari ila anasafir vzr, kule 6Γ5 unajitahidi lkn waaaaapi
Hela tamu ni iliyopo kwenye cycle sio Ile iliyotulia accountHahaha
Hela tamu ni iliyopo kwenye cycle sio Ile iliyotulia account
ππ zis jenda waache tuBadili bed iwe 6x6 mbona atatuliaπ€
Kumbe eeUkiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.
Mtu wa hivyo unapiga chini fasta maana anakufanyia boya.
Si ndioKumbe ee
Ukiwa matured unaweza piga chini ila kama ndo upo ile age ya early 20's unateketea kimya kimyaUkiona hivyo kuna mawili... it's either huyo mtu ni kipepe hajatulia au hajakupenda so anashindwa kujiachia kwako ndio maana unakua humuelewi.
Mtu wa hivyo unapiga chini fasta maana anakufanyia boya.
Nimekuelewa sanaSi ndio
Sometimes kupiga kimya ndo solution bora na inasolve vingi especially ukiwa na mahusiano na miungu watu aka mrs/mr sikoseagiMimi naamini njia bora na nzuri kwenye mahusiano ni Communications,ukielewa namna bora ya kuzungumza na mwenzako itasolve vingi sana
One sided love eheee πSio rahisi kivipi na mtu hakutaki? Unakua kama mtoa mada sasa
Wanawake mnapenda kugongwa sana!Tabia ya ku ghost mtu kwenye relationship inatokana na nini hasa? Ni kwamba mtu anaogopa confrontation Au ni immaturity?
Kuna mtu wangu wa karibu kawa ghosted na boyfriend wale wa 3 years, hapokei simu wala kujibu text ila anapost status, and now it has been a month Yani kachanganyikiwa na anaumia sana na hajui kakosea wapi, na walikua hawana ugomvi wowote.
Kila mtu anajifanya hayumbishwi na mapenzi humu[emoji16][emoji16][emoji16]Muhusika ni yeye mwenyewe Strong and Fearless hii tabia ya kusakizia matukio binafsi kwa ndugu, jamaa, marafiki na washkaji imekuwa sugu mno kunako JF.
π€£π€£ EehOne sided love eheee π