Tabia ya kukoroma inanivunjia ndoa yangu

Sijafika huko na sijataka ku assume kwakua mdau hapo kwanza kajieleza mapungufu yake kwakhiyo hata kama yapo mengine pia ,tayar mwamba anaonekana humble kujiweka bayana asaidiwe.
Tujikite kwenye yalio andikwa na sio yasioandikwa maana tutakua tuna guese tu na that is not proper
 
Na ndiyo maana nimesema, mke achague aidha kitambi alafu usiku alale kwa amani au kitambi kisiwepo ila akubali jamaa akaorome usiku kwa sababu ya uchovu wa mazoezi.
 
Mkuu suala la binadamu kuwa na mapungufu wala halihitaji kujieleza kwa sababu it is obvious, hakuna binadamu mkamilifu kila mtu ana mapungufu yake tena siyo madogo, yawezekana mtoa mada ametaka asaidiwe hilo sababu anaona ndilo linaloenda kumvunjia ndoa yake
 
Na ndiyo maana nimesema, mke achague aidha kitambi alafu usiku alale kwa amani au kitambi kisiwepo ila akubali jamaa akaorome usiku kwa sababu ya uchovu wa mazoezi.
Kwamba umeona sababu kubwa ya jamaa kukoroma ni kufanya mazoezi, kwahiyo kila anayefanya mazoezi pamoja na majukumu mengine ni lazima akilala akorome, kwani kufanya mazoezi ni suala la kumfurahisha mke (kiasi cha kutaka mke achague moja) au ni kwa manufaa yake mwenyewe
 
1: Kulingana na jamaa, sababu ya yeye kukoroma ni uchovu uliosababishwa na mazoezi + majukumu yake. ( Hatuongelei watu wengine, tunazungumza kuhusu jamaa na madhaifu yake aliyoleta)

2: Kulingana na maelezo ya jamaa, ameanza mazoezi ili kupunguza kitambi ambacho mke wake amekuwa akimsimanga.

Note: Mke achague moja, jamaa afanye mazoezi apunguze kitambi na usiku akorome AU jamaa aache kufanya mazoezi, usiku asikorome ila kitambi kiwepo.
 
Pole sana mkuu hilo tatizo lina mwarubaini wake kabisa.
Tena huna haja yakutumia fedha yoyote kununua dawa.
Kitaalamu sina muda wakulielezea sana hapa kwakua namda mchache.
Ila tiba yake fanya meditation👈
Ya pumzi👈
kuhusu meditation kwaujumla unaweza kujiunga na groups zangu za meditation WhatsApp.
Anza kwakufanya hivi.
Mkao utakao kufanya uwe relax sana nyoosha mgongo wako vizuri sana.
Vuta pumzi ndefu kujaza kifua kabisaa kisha ishikilie pumzi huku ukihesabu namba moja mpaka 30 kimoyo moyo
(Ndani kwandani)
Kisha itoe pumzi yote kabisa nj'e.
Hivo hivo tena huku ukipanda hesabu kidogo kidogo hadi kufikia hesabu ya 60+120 kwamuda wawiki1 tatizo lako utakua umepona kabisaa.
Ila meditation usiache baada yakupona walau ×1 baada yasiku2.
🙏🙏🙏
 
Reactions: _ly
Ukimaliza utunzi wa hii hadithi, utaniuzia
 
Ndio maana nikakuuliza kwani jamaa kufanya mazoezi ni kwa faida ya mke au ya kwake mwenyewe, yani kufanya mazoezi nalo ni suala la kucompromise eti kisa ni mkewe ndiye aliyemuambia, bila shaka hata jamaa anajua faida ya mazoezi ndio maana hajamuambia mkewe achague moja
 
1: Kwa maelezo ya jamaa, ameanza kufanya mazoezi ili kupunguza kusimangwa na mke wake.

2: sawa, jamaa anajua faida ya mazoezi ndiyo maana hajamwambia. Je mke yeye hajui faida ya hayo mazoezi? Kwanini aseme ndoa itamshinda kisa jamaa anakoromoa? Je hajui kukoroma kunatokana na hayo mazoezi ya kupunguza kitambi?
 
Ndio maana nikasema huwezi kumpangia binadamu jambo lipi limfurahishe na lipi limkere, kama mke anaona kwake kukoromewa ni kero hatuwezi kumlazimisha avumilie, na mke anajua kukoroma siyo udhaifu wala ugonjwa na kikawaida hakusababishwi na kufanya mazoezi na ni tabia ambayo inawezekana kuacha
 
Jamaa amesema, kufanya mazoezi + majukumu yake inasababisha kuchoka hivyo usiku kukoroma. Wewe kwanini unabishana na mtoa mada kwamba hakusababishwi na kufanya mazoezi?

NB: Mtoa mada kasema.
 
Jamaa amesema, kufanya mazoezi + majukumu yake inasababisha kuchoka hivyo usiku kukoroma. Wewe kwanini unabishana na mtoa mada kwamba hakusababishwi na kufanya mazoezi?

NB: Mtoa mada kasema.
Kukoroma ni tabia ambayo inawezekana kuacha bila kuathiri ratiba ya mazoezi, na ndio maana hata yeye mwenyewe hajachukua uamuzi wa kuacha mazoezi bali kaja jf kutafuta solution ya kuacha kukoroma, narudia suala la jamaa kufanya mazoezi siyo la kucompromise na mkewe hata kama ni yeye ndiye aliyemuambia
 
.

Ndugu zangu, kama kuna mtu anaweza kunisaidia tatizo hili la kukoroma naombeni msaada maana ndoa yangu inaenda kufa.
Ubonge ukiisha na kukoroma kutapungua ndugu-Pambana
 
Kabla ya mazoezi, hakuwa anakoroma. Kwahiyo ni aidha aache mazoezi, au amwambie mke wake avumilie mpaka kitambi kiishe.
 
Kabla ya mazoezi, hakuwa anakoroma. Kwahiyo ni aidha aache mazoezi, au amwambie mke wake avumilie mpaka kitambi kiishe.
Solution ya yeye kuacha kukoroma siyo kuacha mazoezi, ndio maana nikakuambia mtoa mada alikuwa na uwezo wa kufanya maamuzi hayo ya kuacha mazoezi, lakini hakufanya hivyo badala yake akaamua kuja jf kutafuta solution ya kuacha kukoroma
 
Kipara ngoto..

Mwwnye kufahamu hili jina lilianzia wapi anisaidie. Kulikuwa na kawimbo fulani utotoni kanajijia kwa mbali kwenye akili yangu.
Kipara ngoto songa ugali tule hapo unasikia paaa ukiwa na upara
 
Jamaa ako Jefu na Beka mbona kama wanakuzoom kwa mbali..hawaingilii kabisa ndoa yako kwa msaada wakati wao ndio walikupa mke! Skiliza KP...fanya haya utanishkuru
1.kata kabisa malipo yoyote ya kikoba au michezo
2.Hama chumba
3.Acha mazoezi..kula zako kitimoto ukija lala zako

Fanya hivi wiki tu...na utakuja unipe serengeti mbili na rosti kavu...na ndizi mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…