Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
mtoa mada jau 🤣Dah watu wa siku hizi mmekuwa wakali Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoa mada jau 🤣Dah watu wa siku hizi mmekuwa wakali Sana
Xaxa kwani xi muwe mnatulekebisha 😂Uanze wewe kunitext then unaniambia "niambie" tupaaaaafu.
Wengine ni haya mapooza yanayotumia x badala ya s au wanaotumia l badala ya r 🙆🙆🙆
🤣🤣🤣🤣🤣Xaxa kwani xi muwe mnatulekebisha 😂
🤣🤣🤣🤣Tutafika kweli mimi nahisi tutaishia njiani.
Dinazarde salama? Uko poa? Umeshindaje leo? Niambie wajionaje na haliKuna wale anakusalimia saa sita usiku “mambo” salama?hujambo?niambie [emoji706][emoji706]
Za huko?unaendeleaje?Dinazarde salama? Uko poa? Umeshindaje leo? Niambie wajionaje na hali
🤣🤣 salamu hazikatikiZa huko?unaendeleaje?
Niambie
Watu hawana hela [emoji1][emoji1][emoji1]Dah watu wa siku hizi mmekuwa wakali Sana
Saa sita usiku imagine mtu alikuwa wapi kutuma asubuhi au mchana🤣🤣 salamu hazikatiki
Mwanamke akiwa hivyo kwa sisi madomo zege anakata mood ya kuanzisha stori kabisa kabisa na tunabaki njia ya panda.Yaaan mii ukijikoroga ukaniita katika meseji uwa nina majibu ma3 tu..
1. Abee
2. Sema
3. Nipange / niambie
Hiyo Abee siku hizi nimeipunguza kwa baadhi ya watu kuanzia pale kuna mtu ananiita, naitika abee.. anakuja niambie nikiitika hivyo anafeel kuwa loved na mm. Lol
Depal…. Sema/ nipange
🤣🤣 ukiona sipangiki ukichukia piga simu ‘kwenye simu at least uwa naongea vizuri.
Mwanaume mwenzio anakwambia eti tuonane nimemiss kuona sura yako [emoji58][emoji2955][emoji2955]
Akafie mbali kabisa huwa sijibu. Ninahisi lake ndio linamuwasha.Huyo ana nia mbaya na rinda lako
Naona mr mapembe analeta maskharaMoja kwa moja..
Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo huwa mwisho wa kuchat isipokuwa kwa wachache ambao ninawajua kuwa bado Wana utoto.
Leo hii mshikaji wangu nimemchana live uvumilivu umenishinda kaja na namba ngeni yeye ndiye kanitafuta halafu anasema nimpange hiyo inakuja kweli ?View attachment 2369912
#UziTayari