Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

Mambo yamebadilika, Uandishi umebadilika, kizazi kimebadilika...

Inategemeana anayekwambia hivyo yupo kwenye rika gani?

Kama ni dogo unamrekebisha

Kama ni mtu mzima unampuuza tu hakuna kumjibu.

Tusifanye maisha kuwa magumu.
 
Mtu anaitwa mapembe unategemea jibu gani
Nimefupisha jamaa alikuwa anajiita Mapembe ya Mbwa nikamwambia haifai kujikita jina baya wewe Muislamu unaswali ndio kaamua kubadilisha kujiita "Mapembe Mbwa" nimeona jamaa bora nimuache tu.
 
Me niliulizwa hivyo najibu mwenyewe yupo nimlipe ya miezi sita? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaaan mii ukijikoroga ukaniita katika meseji uwa nina majibu ma3 tu..

1. Abee
2. Sema
3. Nipange / niambie


Hiyo Abee siku hizi nimeipunguza kwa baadhi ya watu kuanzia pale kuna mtu ananiita, naitika abee.. anakuja niambie nikiitika hivyo anafeel kuwa loved na mm. Lol

Depal…. Sema/ nipange
🤣🤣 ukiona sipangiki ukichukia piga simu ‘kwenye simu at least uwa naongea vizuri.
Mwanamke akiwa hivyo kwa sisi madomo zege anakata mood ya kuanzisha stori kabisa kabisa na tunabaki njia ya panda.
 
Moja kwa moja..

Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo huwa mwisho wa kuchat isipokuwa kwa wachache ambao ninawajua kuwa bado Wana utoto.

Leo hii mshikaji wangu nimemchana live uvumilivu umenishinda kaja na namba ngeni yeye ndiye kanitafuta halafu anasema nimpange hiyo inakuja kweli ?View attachment 2369912

#UziTayari
Naona mr mapembe analeta maskhara
 
Back
Top Bottom