Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

Yaaan mii ukijikoroga ukaniita katika meseji uwa nina majibu ma3 tu..

1. Abee
2. Sema
3. Nipange / niambie


Hiyo Abee siku hizi nimeipunguza kwa baadhi ya watu kuanzia pale kuna mtu ananiita, naitika abee.. anakuja niambie nikiitika hivyo anafeel kuwa loved na mm. Lol

Depal…. Sema/ nipange
🤣🤣 ukiona sipangiki ukichukia piga simu ‘kwenye simu at least uwa naongea vizuri.
Naomba namba yako.
 
Ukweli ni kwamba,
Hata kama Wewe unajifanya hupendi ila yeye kuna namna anakuchukulia...

Sitaki kuamini kuwa hiyo lugha anaitumia kwa kila mtu.
 
Ila sometimes kama tunacomplicate maisha flani hivi nikirudi skuli kulikua na zile barua za maneno kumi unasummarize kwa kifupi sana hakuna kuweka hata vituo ni sama na Sms tu Short Message mtu akiandika kwa kifupi ni sawa la msingi aandike herufi sahihi sio xaxa badala ya Sasa wakati mwingine tusichukulie maisha kwa ugumu sana
 
Ila sometimes kama tunacomplicate maisha flani hivi nikirudi skuli kulikua na zile barua za maneno kumi unasummarize kwa kifupi sana hakuna kuweka hata vituo ni sama na Sms tu Short Message mtu akiandika kwa kifupi ni sawa la msingi aandike herufi sahihi sio xaxa badala ya Sasa wakati mwingine tusichukulie maisha kwa ugumu sana
Hivi usingizi hua unatoshaje kwa kichwa ya kuku mkuu?

Sent from MTI WA NYAMA using JamiiForums mobile app
 
Moja kwa moja..

Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo huwa mwisho wa kuchat isipokuwa kwa wachache ambao ninawajua kuwa bado Wana utoto.

Leo hii mshikaji wangu nimemchana live uvumilivu umenishinda kaja na namba ngeni yeye ndiye kanitafuta halafu anasema nimpange hiyo inakuja kweli ?View attachment 2369912

#UziTayari
Sasa text yako inaendana sawa ma jibu wewe ndio una matatizo mkuu
 
Kuna kabinamu kangu kaliniletea huu ujinga, nikamsema pale pale aache huo upuuzi
 
Pamoja na hayo, mimi huwa sipendi kabisa mtu ananipigia simu naitika halafu yeye ananitaja jina langu,
Haitoshi tena anauliza uko wapi?

Kwakweli Mimi maswali hayo huwa siyajibu kama anavyotarajia.
 
Kuna watu ukichart nao unaboeka Sana.Unakuta mtu majibu yake Ni eeh,mmh,hapana,oooh
 
Kuna watu ukichart nao unaboeka Sana.Unakuta mtu majibu yake Ni eeh,mmh,hapana,ooohmmh,pooh
Mambo hayo haswa wanawake, unaweza kuandika text ndefu umetumia energy kubwa yeye anajibu oooh ,eeh au mmmh hapo inakata vibe ya kuchart ushikiano unakosekana ..
 
Lengo la lugha ni kuwasiliana kama mtu anaandika xx badala ya sasa na umeelewa sioni shida japo Kwa kiasi fulani inakera. Mfano ofisini huwa tunatumia vifupisho Kwa mawasiliano rasmi kikubwa kuwe na kuelewana.
 
Lengo la lugha ni kuwasiliana kama mtu anaandika xx badala ya sasa na umeelewa sioni shida japo Kwa kiasi fulani inakera. Mfano ofisini huwa tunatumia vifupisho Kwa mawasiliano rasmi kikubwa kuwe na kuelewana.
 
Back
Top Bottom