Tabia ya kumtext mtu au kuanza mazungumzo kurupu anasema nipange au niambie huwa inakera sana

Naomba namba yako.
 
Ukweli ni kwamba,
Hata kama Wewe unajifanya hupendi ila yeye kuna namna anakuchukulia...

Sitaki kuamini kuwa hiyo lugha anaitumia kwa kila mtu.
 
Ila sometimes kama tunacomplicate maisha flani hivi nikirudi skuli kulikua na zile barua za maneno kumi unasummarize kwa kifupi sana hakuna kuweka hata vituo ni sama na Sms tu Short Message mtu akiandika kwa kifupi ni sawa la msingi aandike herufi sahihi sio xaxa badala ya Sasa wakati mwingine tusichukulie maisha kwa ugumu sana
 
Hivi usingizi hua unatoshaje kwa kichwa ya kuku mkuu?

Sent from MTI WA NYAMA using JamiiForums mobile app
 
Sasa text yako inaendana sawa ma jibu wewe ndio una matatizo mkuu
 
Kuna kabinamu kangu kaliniletea huu ujinga, nikamsema pale pale aache huo upuuzi
 
Pamoja na hayo, mimi huwa sipendi kabisa mtu ananipigia simu naitika halafu yeye ananitaja jina langu,
Haitoshi tena anauliza uko wapi?

Kwakweli Mimi maswali hayo huwa siyajibu kama anavyotarajia.
 
Kuna watu ukichart nao unaboeka Sana.Unakuta mtu majibu yake Ni eeh,mmh,hapana,oooh
 
Kuna watu ukichart nao unaboeka Sana.Unakuta mtu majibu yake Ni eeh,mmh,hapana,ooohmmh,pooh
Mambo hayo haswa wanawake, unaweza kuandika text ndefu umetumia energy kubwa yeye anajibu oooh ,eeh au mmmh hapo inakata vibe ya kuchart ushikiano unakosekana ..
 
Lengo la lugha ni kuwasiliana kama mtu anaandika xx badala ya sasa na umeelewa sioni shida japo Kwa kiasi fulani inakera. Mfano ofisini huwa tunatumia vifupisho Kwa mawasiliano rasmi kikubwa kuwe na kuelewana.
 
Lengo la lugha ni kuwasiliana kama mtu anaandika xx badala ya sasa na umeelewa sioni shida japo Kwa kiasi fulani inakera. Mfano ofisini huwa tunatumia vifupisho Kwa mawasiliano rasmi kikubwa kuwe na kuelewana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…