Tabia ya kuomba hela halafu ukishatumiwa husemi imefika au kutoa shukrani sio nzuri

[emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hana vocha ya kupiga kutoa shukran ?? [emoji16][emoji16][emoji16] ila vocha ya kuomba pesa atumiw anayo [emoji16][emoji3][emoji16][emoji16]
Binafsi naelewa wew ulieyemtumia ndo unatakiwa kupiga simu kuulizia kama muamala umemfikia sababu unaweza kujaa povu kumbe text haijamfikia au hana hata hiyo vocha ya kukupigia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnakera mno ,unakuta mtu namba yako anaifahamu , majina yako unayotumia anayajua yote
Bado akituma hata dk kadhaa hazijapita anauliza umepata? Agrrr mnakera
Aliongea mpoki kwamba wanaume waache kuuliza uliza Kama hela imefika,
Kwani hawaoni msg ya muamala?
Eti wanauliza maswali mengi kuliko hata hela yenyewe waliyotuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hujanielewa ama sijaeleweka vzr nilichomaanisha wewe ukishatuma huna haja yakunipigia wajibu wa kupiga na kushukuru unapaki kwangu
Na ndio maana nikasema subiri lwa dk kadhaa mimi nikupe mrejesho
Yaani mtu anikinipigia kuuliza jambo hilo nahisi kama sitambui wajibu wangu
 
Usijiweke kwenye kundi la kutumiwa tu

Wewe fikiria umemtumia mtu pesa anyamaze asitoe taarfa utajisikiaje?
Mkuu mimi nikimtumia mtu na nikiwa na uhakika wa muamala , sishughuliki nae tena
Kwa sababu najua kwa muda wake akiiona atanijulisha
 
Tatizo mnakera mno ,unakuta mtu namba yako anaifahamu , majina yako unayotumia anayajua yote
Bado akituma hata dk kadhaa hazijapita anauliza umepata? Agrrr mnakera
Unakula pozi kutuma ka message kwamba umepata?
Wakati unaomba, inatuma mimeseji hadi kero. Mara salamu, mara umekula na upuuzi wote wa Dunia hii. Ukishapata unakula pozi kwanza.
 
Kausha wala usiulize.

Next time akiomba tena muulize kama zile za mwanzo zilifika.

Kutosema kunaweza kumaanisha mambo kadhaa. Hana mpango na wewe Ila hela yako. Wewe ni ATM tu.

Labda kuna sehemu naye anatuma kwanza.

Labda kaona umetuma kiasi kidogo ingawa yeye hana hata nauli ya daladala.
 
Mkuu mimi nikimtumia mtu na nikiwa na uhakika wa muamala , sishughuliki nae tena
Kwa sababu najua kwa muda wake akiiona atanijulisha
Mimi hata nikituma hela kupitia kwa wakala,nitaangalia message palepale kwa wakala Kama imefika.
Wala sijipi kazi kuanza kumuuliza niliyemtumia Kama amepata au hajapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakula pozi kutuma ka message kwamba umepata?
Wakati unaomba, inatuma mimeseji hadi kero. Mara salamu, mara umekula na upuuzi wote wa Dunia hii. Ukishapata unakula pozi kwanza.
Pole sana mkuu, halafu sio kila pesa inaombwa wengine hutuma kama wajibu
 
Mimi hata nikituma hela kupitia kwa wakala,nitaangalia message palepale kwa wakala Kama imefika.
Wala sijipi kazi kuanza kumuuliza niliyemtumia Kama amepata au hajapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida hawaelewi kwamba ukishatuma basi kazi yako imeisha. Kuuliza ni kama kufosi vitu .
Mimi kwangu sijipi presha hiyo ya kuuliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…