Tabia ya kuomba hela (Kiholela) imekuwa desturi ya Watanzania wengi

Tabia ya kuomba hela (Kiholela) imekuwa desturi ya Watanzania wengi

Gentlemen_

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2019
Posts
4,431
Reaction score
13,876
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana.

Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana..
Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
Gentleman mtu wangu kulikuwaga na avatar picha Yako flani tuliyoizoea ya mchoro (sketch) ya kikatuni flani. Irudishe ariff
 
Gentleman mtu wangu kulikuwaga na avatar picha Yako flani tuliyoizoea ya mchoro (sketch) ya kikatuni flani. Irudishe ariff
Itakuwa ID ya mtu mwingine.. joh
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana..
Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
Yani unakuta dume zima linafanya kazi na kupokea mshahara lakini yeye kila wakati nikuomba omba hela tu. Hadi ukiliona kwa mbele linakuja unachepuka kulikwepa usipigwe mzinga
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana.

Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
Hii tabia kweli naiona ipo sana
 
Screenshot_20230626-100131_(1).png
 
Pesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
 
Pesa ni vitu vidogo umasikini wa Fikra ndo unakusumbua hadi mnaamini pesa ndo kila kitu , na mwisho mnakufa masikini yaani kuombwa buku tano au lakitano ndo mnakaa kuandika nyuzi sijui mmeanza kudata maybe au mpo brainwashed au labda mmeugua mental illiness? Mnachekesha mnapojikuta mmemaliza Maisha
Sawa.
 
Hili ni tatizo na ni tabia inayonikera sana.

Mtu usipost upo kiwanja flani utashangaa inaingia text "Mzee nisaidie elfu 10 hapo"..

Sawa tunapaswa kusaidiana kwa shida na raha ila ukipata request za kuombwa hela na watu zaidi ya 6 kwa siku mbili tu lazima hata ule moyo wa kiutu unaisha.. utakuwa unafanya kazi ya kuwatumia watu hela tu?

Na hii tabia naiona inakuja kwa kasi sana, Mwanzo nilifikiri ni wanawake tu ndio wenye hii tabia ila kwa sasa mpaka wanaume nao wanaomba hela kama dada zao na mbaya zaidi unamwomba mwanaume mwenzio bila kuzuga zuga.. yaan unaomba ile direct kabisa as if ni haki yako kupewa hiyo hela.

Ndio maana watu wanaamua wakae kimya, maana ukimsalimia mtu tu ni kosa hapo hapo unakula kirungu cha hela ya kula etc..

Na ole wako umuahidi ntakuchekia au ntakutumia.. inageuka kuwa deni, zitapigwa simu mpaka uchanganyikiwe.
Kwenye jamii za watu wenye tamaduni za hovyo za ujinga ujinga unaoitwa Ujamaa, hayo ndio mambo yao. Lakini kwenye jamii za watu waliostaarabika wenye itikadi za Ubepari, ujinga kama huu haupo kabisa.
 
Kwenye jamii za watu wenye tamaduni za hovyo za ujinga ujinga unaoitwa Ujamaa, hayo ndio mambo yao. Lakini kwenye jamii za watu waliostaarabika wenye itikadi za Ubepari, ujinga kama huu haupo kabisa.
Serious.. upo sahihi kabisa, Ujamaa ni aina flan ya Maisha ambayo yanarudisha nyuma maendeleo.
 
Back
Top Bottom