Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

kumbe ucheshi uko wa namna nyingi nyingi eeeh, huu ndo nausikia sasa hivi

yaani mtu yuko mbali na wewe unamwandikia msg ya uchokozi anakasirika na wewe unafurahia ni ucheshi kweli? labda huu ni wa pHD

hahahahahha
Haha..
Sema mamtumishi nawe una mawivu, hebu tuache huko.!!
 
Word,
Na kila mtu hajakamilika kwa hiyo unaweza kutana na mwanamke mkimya mtaratibu lakini, hata ukimuudhi hujui, au hawi muwazi na kuweka vitu moyoni.
Lakini unaweza kukutana na mtu muwazi sana, hata akiwa tofauti na uchangamfu wa kawaida unajua kabisa kuna kitu hakipo sawa kwa huyu mwanamke.
Sahihi kabisa mkuu. Huyo mkimya anaweza kukukaba na mto usiku😂😂 Maana sumu anazivundika kila siku daah!.
 
Amen, mimi naona watu wengi hawajakuelewa tu. Lakini wanawake wacheshi wanachangamsha mahusiano sana, na wanafanya mahusiano yanoge zaidi, tatizo lipo kwa watu wanaochukulia kila kitu serious, hata kama utachukia na utani wake lakini baadaye ukimfikiria unajikuta unacheka tu. Tofauti na yale mahusiano ambayo mwanamke mkimya tu hata akichukia hujui. Wanawake aina yako wanaenda kupotea kabisa inatakiwa mlindwe sana.
Hahaa...
Nimekupenda bure Pazz.! Kwanza umeoa..??
 
Mkuu, kuna wale wanawake wacheshi wanapenda tu utani wa kukukera, mpaka sometimes unakasirika, nimetoa mfano anaweza kuwa anaenda kanisani jumapili, akakufunua shuka akalitupa pembeni halafu akakimbia hapo lazima utakasirika sana. Lakini baadaye akirudi hasira zimeshaisha mnaanza kucheka tu, na kupiga mtanange. Au anaweza kukutania mpaka ukakasirika, lakini baadaye unajikuta unacheka tu.
Cha msingi ni kutokuchukulia vitu serious sana, kama wewe ukamzibua mtoto wa watu... Hahaha.
Pia inawezekana unachanganya na wale wanawake wenye gubu... hao ni big no kwangu.
Hahahahahah sasa huyo binti mtoa mada yeye anakuwa na gubu tu! Ila ukipata moto yeye ndio anapata relief
 
Nikiandika comment yangu utahisi nakutania...

Acha niwe msomaji tu.... ulichoandika mleta uzi ndio maana halisi ya GUBU
 
Umerithi kwa mzazi au wazazi...but it's too risky unapokuwa na mahusiano na mtu asiyependa ugomvi
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Sasa unaingia mkoa wa Mara, be strong
 
Hahahahahah sasa huyo binti mtoa mada yeye anakuwa na gubu tu! Ila ukipata moto yeye ndio anapata relief
Hahaha... Wanawake ni complex individuals mkuu. Kuna mwanangu mmoja yeye alikuwa ananuniwa na demu wake bila sababu, na demu alikuwa mpole sana, mpaka mchizi akaona anishirikishe maana tulikuwa marafiki tulioshibana. Mimi nikamshauri kama anampenda awe anampuuzia tu, akijiona mjinga atamtafuta.
Ikafika time hadi manzi ananitafuta nimuombee msamaha, sasa si bora huyu mtu wa utani kuliko kuwa na mwanamke anakuadhibu bila kosa halafu mnaishi wote.
 
Hahaha... Wanawake ni complex individuals mkuu. Kuna mwanangu mmoja yeye alikuwa ananuniwa na demu wake bila sababu, na demu alikuwa mpole sana, mpaka mchizi akaona anishirikishe maana tulikuwa marafiki tulioshibana. Mimi nikamshauri kama anampenda awe anampuuzia tu, akijiona mjinga atamtafuta.
Ikafika time hadi manzi ananitafuta nimuombee msamaha, sasa si bora huyu mtu wa utani kuliko kuwa na mwanamke anakuadhibu bila kosa halafu mnaishi wote.
Ukiingia ndani kavuta mdomo anakukata jicho hatari Hapa nimekumbuka kitabu cha marehemu Hammie Rajabu GUBU LA MUME. 😂😂😂😂
 
Sio wewe tu ni wanawake asilimia zote hipenda kutest confidence ya mwanaume wake mara kwa mara,
napia huwa mnapenda kujuwa nani ana nguvu zaidi kwenye mahusiano yenu... yani mkiqchana sasas hivi nani ata poteza zaidi...
 
Ukiingia ndani kavuta mdomo anakukata jicho hatari Hapa nimekumbuka kitabu cha marehemu Hammie Rajabu GUBU LA MKE. 😂😂😂😂
Kiukweli mkuu, yataka moyo sana kuna wanawake kwa muonekano wataratibu lakini kwenye anga zao ni balaa tupu. Fikiria umetoka kwenye mihangaiko umechoka unategemea faraja kutoka kwa mwanamke, halafu unakuta amenuna bila sababu kila ukimdadisi hupati jibu unabaki unateseka tu ndani kwa ndani. Aisee hivi Mimi siwezi kabisa, bora uwe single tu, na ndiyo maana napenda wanawake wacheshi wasio na kinyongo.
 
Kiukweli mkuu, yataka moyo sana kuna wanawake kwa muonekano wataratibu lakini kwenye anga zao ni balaa tupu. Fikiria umetoka kwenye mihangaiko umechoka unategemea faraja kutoka kwa mwanamke, halafu unakuta amenuna bila sababu kila ukimdadisi hupati jibu unabaki unateseka tu ndani kwa ndani. Aisee hivi Mimi siwezi kabisa, bora uwe single tu, na ndiyo maana napenda wanawake wacheshi wasio na kinyongo.
Sahihi kabisa mkuu.
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Bangi za arusha ndio zilivyo ahaaaa
 
Back
Top Bottom