Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa..!HAUJA KUTANA NA WABABE
Subir uje ukutane na watu Kama Hawa[emoji116][emoji116]View attachment 2111450
Haha..
Mahaba ya kukwaza mtu dear.?
Lakini kama umedhamiria ugomvi uwepo na unaufurahia huo ugomvi it's only fair wewe ukijishusha....isiwepo aidha ya kutafuta solution,ni wewe unatakiwa kujishushaInategemea na ugomvi unakuwaje, aidha ni Mimi nijishushe ama tuutafutie tu solusheni uishe..!
Na siyo mtu yoyote hapana, only my man..!!
Yeah, zipunguze pasipo ugomviInawezekana eti..?
Ninyi ndiyo mlisema akili tutatumia zenu jamani, mbona mnatugeuka..!?Hata hivyo mlishasema yenu matako akili mtatumia zakwetu!..
By the way itafaa zaidi ukutane na mtu ambae furaha yake ni kuona nundu ama damu nafikiri yatakuwa mapenzi ya heri kwenu..😁
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo hutokea kwa wanawake wenye nyege mshindo, we ni ile type ya mademu mnapenda kubakwa[emoji23]
Umeanza!,Si ndo haya unayosema unataka kuyaleta kwangu! Mi napigaga mabanzi ya shingo kaa kwa kutulia.Ninyi ndiyo mlisema akili tutatumia zenu jamani, mbona mnatugeuka..!?