Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanafikia pahala wanaboa ndugu yangu, shauri yako.!
Acha fujo usijenichezesha ban ya wiki kadhaa kuwa mstaarabu takupiga mitama!utawapiga labda wale panzi wako kunguru we..!
Jizaaaazi,Ngoja tuangalie kwa perspective tofauti na watu waliotangulia.
Huwa inasemwa kuwa mtu akikasirika anatoa nguvu hasi na mtu ukiwa kwenye utulivu au amani ya moyo unakuwa unatoa nguvu chanya. Nguvu chanya ni kwa ajili ya ulimwengu wa mwanga na nguvu hasi ni kwa ulimwengu wa giza. Kwa viumbe wa giza moja ya chakula chao kikubwa ni hizo nguvu hasi ambazo bin-adam anazitoa kama matokeo ya kupitia adha au mateso ya kidunia, na ndio maana hawa viumbe wa giza hawaachi kusababisha kila aina matatizo ilimradi tu bin-adam asikae kwa utulivu kwenye dunia, maana akikaa kwa utulivu wao watakosa chao.
So jichunguze vizuri huenda kuna kiumbe kinakutumia kufanya hayo yote bila wewe kujijua. Auuuu, inawezekana wewe sio wewe kama unavyojihisi wewe ni wewe...
Ila usiogope, inawezekana ni tabia ya kawaida au labda ni 'genye' kama walivyo sema waliotangulia.
We mkurya?
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.
Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
Jizaaaazi,
Wewe kaka, 'Mimi siyo Mimi' tena.?
Natumaini ni tabia ya kawaida, tusifike huko kwingine tafadhali.!
This is going to be "ugomvi wa kimeumana"Sawa mdogo wangu, nimekusamehe usirudie tena.!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahahaa....
kanakuwa mchanganyiko wa hasira na utamu..!
Haha.
Are you talking from experience sweetheart.?
Kuna demu alikuwa ana have fun of my panic disorder kama hivyo! Niliishiaga kumbutua na penzi likafa😅! Kwa mtu aliezoea amani ni mbaya sana kumfanyia hivyo.Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.
Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.
Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.
Hivi hili litakuwa tatizo gani?