Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Mimi mgumu wa kujaribu ila mwepesi wa miongozo...Aah okay
Mwenywe mimi mgumu kuelezea ila mwepesi wa kujaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mgumu wa kujaribu ila mwepesi wa miongozo...Aah okay
Mwenywe mimi mgumu kuelezea ila mwepesi wa kujaribu
Mimi mgumu wa kujaribu ila mwepesi wa miongozo...
Inapendeza sana kama hizi taarifa zitakua na ukweli...[emoji38][emoji38][emoji38]yah I know
Na miongozo yako naielewaga sana mkuu[emoji846]
Hawakawiliagi kulia lia hao
Inapendeza sana kama hizi taarifa zitakua na ukweli...
Sawa Kila la kheri...Niruhusu niishie hapa mkuu
Mbele kuna tuta ntashindwa kupita
Ndiyo maana nimeuliza ili kama kuna namna ya kupunguza nifanye hivyo, I'll try my best akii.!Jiangalie. The more unazidi kumkasirisha mtu. The more unazidi kumsogeza mbali.
Ww unaona utani mwenzio anachukulia serious.
Siku atachoka utaona ha respond tena, ndio utajua hujui.
Kukushauri tu tafuta mtu anae elewa your behaviour.. oh suppress hiyo hali or risk loosing great men
Haha..!One of my exes alikuwa na tabia kama hizo, sometimes umelala anakuchokoza halafu anakimbia nje, au anakukera tu bila ya kuwa na sababu maalumu. Its kinda sexy, mwanamke anayependa utani na masihara anakera lakini anavutia kwa njia ya kipekee.
Umenikumbusha mbali sana. Hahah...
Hii kitaalamu inaitwa therapeutic conflicts,huchangia kuleta afya ktk mahusiano sometime!Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.
Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.
Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.
Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Ukae karibu na mimi unichokoze [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakushika ziwa nikiona hukomi nakushika Mbususu najua utaacha uchokozi na utakaa kwa kutuliaGuys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.
Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.
Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.
Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Hii hufanyika tu muhusika akiwa mbali mpendwa..!Ukae karibu na mimi unichokoze [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakushika ziwa nikiona hukomi nakushika Mbususu najua utaacha uchokozi na utakaa kwa kutulia
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Hapo sawa.Vile najua I ain't serious huwa siruhusu ifike mbali sana..!
Huo umbali umeandika wapi Mbona hakuna Mahala umeweka wazi kwamba hii hutokea muhusika akiwa Mbali! Au hilo neno umesahau, Nilidhani wewe ni mchangiaji kumbe ndo mtoa madaHii hufanyika tu muhusika akiwa mbali mpendwa..!