Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Utani wa hivyo alikuwa nao demu mmoja
Napenda utani ila sio wa kupitiliza sana
Ila mwisho siku moja kanitania sana na mimi nimechoka nilichomfanyia alishtuka sana ila baadae akaja kuniambia eti nirudie tena nikamwambia unataka kunifungulia kesi akacheka sana na kusema kumbe ukifanya umekasirika tamu hivyo
 
Tofauti yako wew na wachawi ni moja tu, wao wana tunguri, wew sizani kama unazo.

Tafuta mwanasaikolojia akusaidie, hilo tatizo baya sana la kufurahia maumivu ya mwenzako.

Ombea usije deti na wanaume waliovurugwa, nasemaje utajipunguzia siku za kuishi....yaan tutakuita marehem soon
 
Siku udungwe kisu maratatu uingie kwenye list kafa kisa penzi

pia acha hiyo njia unayotumia kujua mwezako hua anachukuliaje mizinga unayompigaga
 
Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Kama itaambatana ngwala ikisindikizwa na ulaji wa mbususu basi haina shida kabisa😅
 
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
....Aisee...nitafute nikuombee hiyo roho ya uchokozi ikutoke.
 
Kuna demu alikuwa ana have fun of my panic disorder kama hivyo! Niliishiaga kumbutua na penzi likafa😅! Kwa mtu aliezoea amani ni mbaya sana kumfanyia hivyo.

Kwake ilikuwa starehe ila kwangu ni kero, the exact thing unamfanyia jamaa na ana react ndio ilikuwa mimi huyo. Nachemka kwa hasira napandisha sauti like crazy yeye anafurahi weee!

Kwangu thats toxic as Fuc nilibwaga
Tuko sawa mkuu..mm pia juz wken kaniletea za hivyo..alioga makofi na mitama ya kutosha...yaan unaona kabxa mtu anaku discomfort hadi mwsho af yy anajichekesha chekesha tu
 
Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
We Ni mlokole?

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Haha..!
Nashukuru kuna mtu anaelewa ile namna, ukianza kugomba gomba siye ndiyo tunapata amani walaqhi'..!
Kiukweli nilifurahia sana mahusiano yale, mimi si muongeaji sana kwa hiyo napenda mwanamke mcheshi na mchangamshaji. Wanawake wa hivi wengi wanakuwaga na upendo sana, na wanavyokera wanakuwa wanaongeza amshaamsha ya mapenzi kama pilipili kwenye mboga.
 
Back
Top Bottom