Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah well, you have to trust me cause i might be something that you wished for so long! Kuna Extrovert af kuna ........!!!I told you, I don't trust you, umeamini sasa.?
Unabishana na mtaalam.. njoo hata pm nikushauri kinaganagaHapana, huwezi pata mteja kirahisi hivyo ndugu yangu..
Ndio maana nikisema hamna jipya kwenye hii tasniaDogo una matukio hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu hakichelewi kutoka na mimba😂Kitomb......o cha ugomvi kinakua kitamu.
Hahahahahah dah demu mmoja anawezs kuwa na tabia za kiwaki 100 sasa niki refer muwe mnaelewa ni madem hao hao wawili😅 maana wapenzi wangu wawili tuKila story yeye alikuwa na demu mwenye huo mfananio..!
Pasaka hapo my deartwaenda lini kunywa mbege.??
Kama itaambatana ngwala ikisindikizwa na ulaji wa mbususu basi haina shida kabisa😅Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.
Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.
Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.
Hivi hili litakuwa tatizo gani?
....Aisee...nitafute nikuombee hiyo roho ya uchokozi ikutoke.Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Tuko sawa mkuu..mm pia juz wken kaniletea za hivyo..alioga makofi na mitama ya kutosha...yaan unaona kabxa mtu anaku discomfort hadi mwsho af yy anajichekesha chekesha tuKuna demu alikuwa ana have fun of my panic disorder kama hivyo! Niliishiaga kumbutua na penzi likafa😅! Kwa mtu aliezoea amani ni mbaya sana kumfanyia hivyo.
Kwake ilikuwa starehe ila kwangu ni kero, the exact thing unamfanyia jamaa na ana react ndio ilikuwa mimi huyo. Nachemka kwa hasira napandisha sauti like crazy yeye anafurahi weee!
Kwangu thats toxic as Fuc nilibwaga
We Ni mlokole?Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.
Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.
Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.
Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.
Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Kiukweli nilifurahia sana mahusiano yale, mimi si muongeaji sana kwa hiyo napenda mwanamke mcheshi na mchangamshaji. Wanawake wa hivi wengi wanakuwaga na upendo sana, na wanavyokera wanakuwa wanaongeza amshaamsha ya mapenzi kama pilipili kwenye mboga.Haha..!
Nashukuru kuna mtu anaelewa ile namna, ukianza kugomba gomba siye ndiyo tunapata amani walaqhi'..!