Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye text, akiwa anafunguka vile ndiyo furaha yangu, hapo atakuwa mkweli mpaka kuwa hataki kukupoteza sijui, Mimi ewaaah'...!!Wakati unafanya hivyo unafurahi? Yaani mwenzako yupo kwenye panic mode wewe unafurahi, furaha yako ipo pale unapoona mwenzako kakasirika..hilo binafsi nahisi ni tatizo.
Je, mnaishi wote na huyo jamaa au ni kupitia calls na texts ndio unamfanyia hivyo?
Mkiwa pamoja je? Unaweza kum-tease wakati mnakula chakula cha usiku?[emoji23]Kwenye text, akiwa anafunguka vile ndiyo furaha yangu, hapo atakuwa mkweli mpaka kuwa hataki kukupoteza sijui, Mimi ewaaah'...!!
Atakupiga kimasihara alafu atakuchapa kimasihara alafu mtamalizana kimasihara...Haiwezi tokea siyo mpigaji kaka wa watu,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaa,
amehangaika weeh', hakuna cha maana alichopata zaidi ya experience ya kufa mtu na broken hearts kama 1000 walaqhi' tena..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi hao wawili watakuwa aliens, sio kwa matukio yote hayo!Hahahahahah dah demu mmoja anawezs kuwa na tabia za kiwaki 100 sasa niki refer muwe mnaelewa ni madem hao hao wawili[emoji28] maana wapenzi wangu wawili tu
Mimi tena nimuombee my sweetheart atwangwe makonzi kweli? Hapana i can't 😛😂Hata wewe huniombea mabaya pia sweetheart???
Pole pekee itasaidia nini we maandazi!? Pole iambatane na kibunda..!
Hahahahah aliens kweli 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi hao wawili watakuwa aliens, sio kwa matukio yote hayo!
Kwahio anakuchangamsha kwa kero?Kiukweli nilifurahia sana mahusiano yale, mimi si muongeaji sana kwa hiyo napenda mwanamke mcheshi na mchangamshaji. Wanawake wa hivi wengi wanakuwaga na upendo sana, na wanavyokera wanakuwa wanaongeza amshaamsha ya mapenzi kama pilipili kwenye mboga.
Attention seeking hio loh! Its beyond and above!Kwenye text, akiwa anafunguka vile ndiyo furaha yangu, hapo atakuwa mkweli mpaka kuwa hataki kukupoteza sijui, Mimi ewaaah'...!!
Mi sielewi jamani hivyi watu wanachangamka vipi na kero?Kwahio anakuchangamsha kwa kero?