Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Utakuja kufia mikononi mwa Watu, hiyo tabia uiache. You're attention seeker, na hujui jinsi ya kupata attention ya mpenzio ndio maana Wafanya hivyo.

Ndio maana hua nasema kila mwanamke ana utoto ndani yake, mwanaume anayefaidi mwanamke fulani ni yule anaye-Entertain huo utoto wa mwanamke. Ila huo wako na wa hovyo utapigwa uchakae, Badirika kabla hayajakukuta mambo.
Ahsante kwa ushauri, ila trust me I'll be the last woman standing katika suala la kupigwa..!! Katika vitu siwezi fanywa ni kupigwa mdogo wangu..!
 
Hilo nalo ni tatizo la akili pia.
Ila viungomvi ugomvi huwa vinanogesha mapenzi lakin viwe vya kiasi
Siyo tatizo la akili bhaana, mbona mnanisingizia jamani..!!?

Hapo pa kunogesha sasa.!! Ewaaah'..
 
Wanawake wengi tulivyo
Mi siku hizi nimepunguza maana sitaki ugomvi nimechoka na miugomvi
 
Kuepusha maumivu utakayo yapata let me let it pass[emoji57][emoji57],,,
okay umeshinda,, you'll make me crumble nimekubali.
Ahsante ila sipendi watu wanaokubali haraka jamani, hata sijatumia nguvu.!?
 
Back
Top Bottom