Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Jiandae na kauli za "umeanza ebu niache nina mambo mengi ya kufanya" hapo ndio utajua umemkomazaNi kusingizia nilimaanisha,
Am afraid nitakuwa addicted nakoelekea real..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae na kauli za "umeanza ebu niache nina mambo mengi ya kufanya" hapo ndio utajua umemkomazaNi kusingizia nilimaanisha,
Am afraid nitakuwa addicted nakoelekea real..!
Hahaa,Dharau kubwa sana..
Siku nyingine nliishia kuitiwa toyo na kupandishwa kwa nguvu saa 7 ya usiku nirudi kwangu😂😂😂 ila nlishukuru maana ilikua napigwa iyo siku yani sio kwa uchokozi ule ..
Yani imagine umeanzisha jambo afu mtu kakujibu ivo.. nkaona weeh usnitanie kabisa.. iyo ni saa 4 usiku.. nkatafuta toyo nkamfata kwake alooh😂😂😂😂😂
You got a bold heart sweethrt! I love dat😍Haha,
I'll trust this the way I trust black mamba under my bed..!
Ewaaah'..!
Nimeipenda hiyo, utani wenye ukweli ndani yake..!
Yap sasa hivi unajiongeza tu mbonaInauma sana, nitakulaani mpaka wewe na ukoo wako, bora mtu akuchane..!!
binafsi huwa hata sifikiagi hatua ya ku panic, nikiona unaanza kuleta kunikosoa au kunituhum bila sababu za msingi fasta i agree with you and ghafla u will keep seeing me occassionally sana.Yan huwezi kunijaza hata kwa mbali. na conversation yetu itakua very disconnected.That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.
Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe🚶🚶🚶
Yaani dada kama umeniona vile.. nlikua mdogo kama nmemwagiwa maji baridi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaa,
Hapo natamani kukuona na vimashavu vyako unavyokimbizana kupanda pikipiki kwa uoga..!
Nimechekaaaa...!
Nadhan nikizoeana nae zaidi atakua huru kwanguJamani..! Mimi siwezi mficha mtu nayedate naye, nikitaka namuambia vizuri kuwa nataka, nataka nini na naitakaje waaaiii..!!
kiukwel mimi now days niko hivi, yani kupigizana kelele siku hiz siwezi kabisaa,,mambo yangu ni meengi mno yanatosha kunifanya niwe na kila sababu ya kuepuka mazogo zogo.Hahaha... Wanawake ni complex individuals mkuu. Kuna mwanangu mmoja yeye alikuwa ananuniwa na demu wake bila sababu, na demu alikuwa mpole sana, mpaka mchizi akaona anishirikishe maana tulikuwa marafiki tulioshibana. Mimi nikamshauri kama anampenda awe anampuuzia tu, akijiona mjinga atamtafuta.
Ikafika time hadi manzi ananitafuta nimuombee msamaha, sasa si bora huyu mtu wa utani kuliko kuwa na mwanamke anakuadhibu bila kosa halafu mnaishi wote.
Hujashikwa ukashikika we maandazi, eti nakuwa 'disconnected' with who.???binafsi huwa hata sifikiagi hatua ya ku panic, nikiona unaanza kuleta kunikosoa au kunituhum bila sababu za msingi fasta i agree with you and ghafla u will keep seeing me occassionally sana.Yan huwezi kunijaza hata kwa mbali. na conversation yetu itakua very disconnected.