Ahsante kwa ushauri, ila trust me I'll be the last woman standing katika suala la kupigwa..!! Katika vitu siwezi fanywa ni kupigwa mdogo wangu..!Utakuja kufia mikononi mwa Watu, hiyo tabia uiache. You're attention seeker, na hujui jinsi ya kupata attention ya mpenzio ndio maana Wafanya hivyo.
Ndio maana hua nasema kila mwanamke ana utoto ndani yake, mwanaume anayefaidi mwanamke fulani ni yule anaye-Entertain huo utoto wa mwanamke. Ila huo wako na wa hovyo utapigwa uchakae, Badirika kabla hayajakukuta mambo.
Hahahah mi ndo Mogadishu yenyewe karibu sana mremboHaha..
Kuliko niyajenge na wewe bora nikaishi Mogadishu,
Nina kile kila princess anapenda😋Hivi Extro huwa una nini lakini..??
Hahahah upo telee😅 come get a sampleNapenda uchokozi, unao pia.?
Sio kusimanga, shida ni kuwa addicted na hio tabiaSiyo tatizo la akili bhaana, mbona mnanisingizia jamani..!!?
Hapo pa kunogesha sasa.!! Ewaaah'..
Kuepusha maumivu utakayo yapata let me let it pass[emoji57][emoji57],,,Please I beg you, don't challenge Me..! I won't tolerate that..!!
Haha.Hako katabia ilibaki kidogo nishushiwe kelbu sku moja😂😂😂 ila sio kwamba nmeacha.. nmepunguza kidogo.
Hii inaboa sana, mtu hata asione wivu.?? Asikupige mabeat unaenda wapi, kuonana na nani, kwanza umevaaje hivyo.?Carleen mwenyewe sindio huyu hapa sasa alimradi kero tu!
View attachment 2112824
[emoji28][emoji28][emoji28]Mungu aniepushe lakini masuala ya kupigana na Mimi ni mbali mbali..!! Nikifika mbele yako natia huruma unaweza lia wewe..!