Hio staili ya ukomeshaji sio nzuri aisee unamwambia tu ukweli huyo mtu wako kuwa hauko vizuri kama muelewa atakuelewa ila kama kichwa maji basi! Ila wa kujifunza atajifunza siku nyingine hatorudia! Pia mnaonekana tu by nature sio wa kujitoa kiivo na hali yenu kiuchumi pia ni tete vinywaji/vyakula kitu gani bana nususaa nyingi mtu anaenda msalani!! Kama unazo unatoa tu uzidi kubarikiwa zaidi!
Sina huo ujinga wa kutoka out na mabest zangu! Nimejiweka tu kwenye position ya hao mashost plus niwe sina hata kumi mfukoni au hata kama ninayo iwe kidogo sana ambayo haitoshi hata. Inasikitisha sana.
Kama mpo wanne! Mhudumu leta soda nne, chips mayai sahani 2, ku- share wawili. Tena wakarihishe kwa ukarimu. Mwisho waambie pesa yangu inaishia hapa, au kuna ya nyongeza? Okay! Asanteni sana na karibuni tena!
Ukweli wa nn uambiwe wanawake wenzio juu hapo wamesema ukweli kwamba mwanamke wa ivo hakupendi........hapo jino kwa jino unaachwa kwnye mataa na shost zako ili next time utie adabu
Mkiachwa kwnye mataa mnaanza majungu hana ela mbwa yulee hahaha sasa mlienda kufanyje?.....
Dada hapo usisingizie mtu hajitoi watu tunajitoa sana lakin kumbuka kabla yakuonana kuna makubaliano kwenye simu n.k na inategemea na sehem unazoenda sehem zngne kama karambezi n.k juice tu ni 4000 hapo mtu mmoja msosi 30-50k kwa mtu mmoja sasa wew umekuja na nyomi unategemea nn? Kama unaplan yakuja na mashoga zako mkubaliane mapema,,Hio staili ya ukomeshaji sio nzuri aisee unamwambia tu ukweli huyo mtu wako kuwa hauko vizuri kama muelewa atakuelewa ila kama kichwa maji basi! Ila wa kujifunza atajifunza siku nyingine hatorudia! Pia mnaonekana tu by nature sio wa kujitoa kiivo na hali yenu kiuchumi pia ni tete vinywaji/vyakula kitu gani bana nususaa nyingi mtu anaenda msalani!! Kama unazo unatoa tu uzidi kubarikiwa zaidi!
Huu ni ujinga kama ujinga ulivyoUlifanya la maana sana! Au kama mfuko wako ungekua njema,ungeteketeza tu 500k, then unaanza mtafuna mmoja baada ya mwingine! Siku wakija shituka usharamba wote!
Ukiweka wazi c utaambiwa clear kwanza shem darling alaf nfo uondoke??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hukufanya vizuri, bora ungemuweka wazi manzi ako mkaona namna ya kusema either kuna emegensi au laa!
Yani ni uswahili wa ajabu mnoHakuna kitu kizuri km kuwa wawili tu aisee! Me naona ni uswahili, cz hata km mtu hakupendi ila anajitambua hawezi kukujazia nyomi! Ni uswahili na kutojitambua kwa hapo naungana na wewe!
Dada hapo usisingizie mtu hajitoi watu tunajitoa sana lakin kumbuka kabla yakuonana kuna makubaliano kwenye simu n.k na inategemea na sehem unazoenda sehem zngne kama karambezi n.k juice tu ni 4000 hapo mtu mmoja msosi 30-50k kwa mtu mmoja sasa wew umekuja na nyomi unategemea nn? Kama unaplan yakuja na mashoga zako mkubaliane mapema,,
Mm binafsi kuna manzi yangu alikuja na beste yake bila taarifa yeye ndo akabeba bills zote nkatoa nauli tu
Dada hapo usisingizie mtu hajitoi watu tunajitoa sana lakin kumbuka kabla yakuonana kuna makubaliano kwenye simu n.k na inategemea na sehem unazoenda sehem zngne kama karambezi n.k juice tu ni 4000 hapo mtu mmoja msosi 30-50k kwa mtu mmoja sasa wew umekuja na nyomi unategemea nn? Kama unaplan yakuja na mashoga zako mkubaliane mapema,,
Mm binafsi kuna manzi yangu alikuja na beste yake bila taarifa yeye ndo akabeba bills zote nkatoa nauli tu
Msosi wa bei ghali wanaagiza afu wanaanza kuupiga picha na ku update location sijui samaki samaki sijui wapiii!Ulifanya la maana sana! Au kama mfuko wako ungekua njema,ungeteketeza tu 500k, then unaanza mtafuna mmoja baada ya mwingine! Siku wakija shituka usharamba wote!
Mlivyotoka hapo uliweza kumla au naye alikaza?Ilikua ndo first time kudate nae! Niliachana nae mapema tu!
Msosi wa bei ghali wanaagiza afu wanaanza kuupiga picha na ku update location sijui samaki samaki sijui wapiii!
Afu wanaanza kunyofoa tartttiibu mwisho inakuwa km wameonja wale jamaa wahudumu ndo wanaenda kukimalizia...
Hapo unatamani umwambie mhudumu akufungue usepe nacho kibaya zaidi unaona noma.
Huku wanakusifia kinyoko nyoko shem ur so beatiful huku una sura km harmorapa