Tabia ya vijana wa Arusha kugeuka Omba Omba na kujiuza kwa Watalii inadhalilisha sana!!!

You will never know until you know and now you know
 
Temana nao, hao masoro soro Acha yapige lomoni hadi kichere😏
 
Sina hamu nao hao majamaa.tumekubaliana elfu 20 kupakia na kwenda kushusha mzigo marangu mtoni walipo malizia kushusha wakadai kazi ngumu wanataka 50 mixa kutoleana na mapanga
Wengi wao ni wehu, basi tu tunaishi nao hivyo hivyo
 
Sema asilimia kubwa vijana wa chuga ni wajinga sana, na wanaojifanya wajuaji sana ila ni watu wanaopenda vitonga sana,
Wanajifanya wandava wakati wachumba tu
waliku upload nini Mkuu ndenge madako
 
vijana wa arusha na moshi wengi wanauza nyuma kwa wazungu na waafrika wenye dollars, usione kijana wa Kaskazin ana dread au kavaa kisela ukajua ni kidume mgumu hawana lolote, mtolee dollar au wekunde kadhaa ukisikia anakuambia Yente Yente maana yake nimekubali nipige show... YenteYente lina maana yake
 
Yaani mwana kawa choko mazima?.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…