Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Watanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
Msosi unakuwa mtamu sana mkipiga kolabo ya ivo.Halafu wanakula rundo la watu kwenye sahani moja! Usafi na afya havijazingatiwa kabisa hapo.
Wanajifanya kula nao Wali kwa Maharage kama wanawapenda kwanini Wasiagize NGOMBE zichinjwe wale nao? Masikini Wanyonge jioni wananunuliwa Pipa la Kangala au Wanzuki badala ya CASSTLE RITEWatanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
Msosi unakuwa mtamu sana mkipiga kolabo ya ivo.
Watanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
Wengine ndio tumekuzwa hivyo haya mambo ya kila mtoto na sahani tunayashudia siku hizi ndio mana hata upendo kwenye familia unapungua.Haina shida kama kuchangiana mate hakukusumbui.
Hv Akili nzuri ni ipi kula wali au kukataa kula wali huo.Watanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
Naona joka la makengeza linashangaa: hiki chakula ya binadamu kweli au ya nguruwe?Watanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
Morogoro jotooo, wapi chongolo. Yule demu aloyezaa naye wa Modeko hapeleki matunzoWatanzania wapo kwenye umasikini mkubwa. Ufisadi umekithiri alafu mnajifanya kula wali maharage
View attachment 2506292
View attachment 2506294View attachment 2506293
wangeyatilia dawa yote yaharishe ili yaache unafiki
Na unafiki haufaiRoho mbaya haijengi