Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.

Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.

Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.

Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.

Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.

Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.

2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.

3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.

Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.

Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.

Sio kesi bati bati
 
1,2,3....zote umejichora namna moyo wako ulivyo.Jifunze kuwa sikuzote wema hufunika ubaya,lakini pia ubaya hufunika wema....ungemtendea wema ule ubaya aliofanya ungemfunza wema kutokana na wema wako,lakini unaporudisha baya,hajifunzi kitu zaidi kutambua kuwa kumbe nawe una roho mbaya.....Kinachotengenezwa hapo ni chuki....hujatengeneza amani.Tushirikiane kuifanya dunia ni sehemu ya amani na siyo visasi na machafuko
 
Shida inaanza KWA hao hao wataka kusalimiwa wengi wenu TABIA zenu mbaya yaani inakua kama ndio umefungua mlango wa kukutongoza[emoji849]SASA cha kufanya salam ni KWA wazazi tu hao wengine watajua wenyewe
 
Shida inaanza KWA hao hao wataka kusalimiwa wengi wenu TABIA zenu mbaya yaani inakua kama ndio umefungua mlango wa kukutongoza[emoji849]SASA cha kufanya salam ni KWA wazazi tu hao wengine watajua wenyewe
Dah we ndo itakuwa tabia yako , sema iyo tabia mademu wengi mnayo ya kuona haki ya kusalimiwa ni yenu na sio kutoa salamu, demu anaweza kukuta sehemu na akakulia buyu anasubiri umsalimie au akakuta kundi la watu ata watano akasalimia kwa kubagua( mavyuoni) na iyo tabia imesababishwa na wanaume kuzidi shobo kwa mademu na ndo imepelekea wao kujiona wanatakiwa kusalimiwa tu na sio wao kuanza kutoa salamu, ata kwenye usafiri aswa wa mabus unaweza ukawa umetulia zako kwenye seat unasubiri safari ianze na akaingia demu kukaa seat ya pili na akakaa kimya anasubiri umpe hi kummk iyo kazi uwa sifanyi , ila tabia nyingi za mademu uwa zinajengwa na wanaume 100% demu wanaume wanavyomtreat ndo iyo tabia umkaa na kutaka kumletea kila mtu,
 
Dah we ndo itakuwa tabia yako , sema iyo tabia mademu wengi mnayo ya kuona haki ya kusalimiwa ni yenu na sio kutoa salamu, demu anaweza kukuta sehemu na akakulia buyu anasubiri umsalimie au akakuta kundi la watu ata watano akasalimia kwa kubagua( mavyuoni) na iyo tabia imesababishwa na wanaume kuzidi shobo kwa mademu na ndo imepelekea wao kujiona wanatakiwa kusalimiwa tu na sio wao kuanza kutoa salamu, ata kwenye usafiri aswa wa mabus unaweza ukawa umetulia zako kwenye seat unasubiri safari ianze na akaingia demu kukaa seat ya pili na akakaa kimya anasubiri umpe hi kummk iyo kazi uwa sifanyi , ila tabia nyingi za mademu uwa zinajengwa na wanaume 100% demu wanaume wanavyomtreat ndo iyo tabia umkaa na kutaka kumletea kila mtu,
Tunasalimia mbona sema tu kulingana na mtu mwenyewe hata appearance yake[emoji16] ILA nikikukuta uko kama juma muuza matango nakuchunia chuuu na hata ukinisalimia siitiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunasalimia mbona sema tu kulingana na mtu mwenyewe hata appearance yake[emoji16] ILA nikikukuta uko kama juma muuza matango nakuchunia chuuu na hata ukinisalimia siitiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usimjudge mtu kwa kumuangalia aisee izo ni dharau na zitakuponza siku, usikute na bishana na mtoto 😀😀
 
Tunasalimia mbona sema tu kulingana na mtu mwenyewe hata appearance yake[emoji16] ILA nikikukuta uko kama juma muuza matango nakuchunia chuuu na hata ukinisalimia siitiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We dada umenichekesha.. Ok

huyo mwenye mwonekano mzuri, unamsalimia ili iweje?? Anakupa hela au
 
Back
Top Bottom