Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

Ukiendekeza salamu...Kwa siku unaweza kusalimia watu 100+

Usilaximishe kusalimiwa na kila mtu... Salamu zikiwa nyingi utachoka mdomo kuitikia salamu ni kero.

Kila baada mda...shikamo, zasaizi, marahaba, vipi halizenu, niaje, Mambo, poa, inakuwaje, kamakawa, salam alaykum, bwana asifiwe, Amani ya bwana, milele amina............n.k

Salimia panapohitajika kusalimia...siyo kila mtu unamsalimia.

Hata usipo nisalimia...ukipata shida nakusaidia.

Utasalimiwa na wangapi...? Utasalimia wangapi...?
"Hata usiponisalimia, ukipata shida nakusaidia". Safi kabisa!
 
Ukiendekeza salamu...Kwa siku unaweza kusalimia watu 100+

Usilaximishe kusalimiwa na kila mtu... Salamu zikiwa nyingi utachoka mdomo kuitikia salamu ni kero.

Kila baada mda...shikamo, zasaizi, marahaba, vipi halizenu, niaje, Mambo, poa, inakuwaje, kamakawa, salam alaykum, bwana asifiwe, Amani ya bwana, milele amina............n.k

Salimia panapohitajika kusalimia...siyo kila mtu unamsalimia.

Hata usipo nisalimia...ukipata shida nakusaidia.

Utasalimiwa na wangapi...? Utasalimia wangapi...?
Mambo haya yabidi wafanye wanakijiji we town utake salamu utamkia wangapi na utaamkiwa na wangapi?
 
Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.

Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.

Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.

Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.

Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.

Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.

2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.

3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.

Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.

Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.

Sio kesi bati bati
Wanaume nyie nao muda mwingine vichwa uji
Yani nyie mkisalimiwa sana ni shida ooooh kale kadada na kenyewe kajitingozesha nn.
Msiposalimiwa oooh kale kadada kanajikuta ka mwamba miguu yenyewe imekaa kama ya kunguru.

Eeeeh bana eeh tushawachoka na mindevu yenu kama chupi za wamasai alaaaah😂😂
 
Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.

Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.

Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.

Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.

Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.

Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.

2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.

3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.

Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.

Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.

Sio kesi bati bati
Salamu haigombi.
Ukisalimiwa na usiposalimiwa unapungua au kuongezeka nini?
Una roho mbaya tu wewe w
ala usijipe visababu visivyokuwa na msingi
 
Wanaume nyie nao muda mwingine vichwa uji
Yani nyie mkisalimiwa sana ni shida ooooh kale kadada na kenyewe kajitingozesha nn.
Msiposalimiwa oooh kale kadada kanajikuta ka mwamba miguu yenyewe imekaa kama ya kunguru.

Eeeeh bana eeh tushawachoka na mindevu yenu kama chupi za wamasai alaaaah[emoji23][emoji23]
Na sisi tushawachoka na mikalio yenu mibovu mibovu
 
Mwanaume akianza kushindana na Mwanamke kuna tatizo mahali![emoji276]mwisho wa siku mtaanza kugombania mabwana
Sasa wakigombani we' inakuhusu nini? Huenda we' ndiyo ukawa na shida! Jitathmini. Kwani mwanamke ni nani by the way, mpaka mtu ukim treat kama anavyoku treat ionekane unashindana naye?
 
Kwakweli sipendi kusalimia ovyo...
Na huwa nafurahi sana pale ninapokutana na mtu ambaye naye hapendi salamu salamu..
Mama anasema eti hata nivyokuwa mtoto nilikuwa nalalamika sana pale ninapoona watu ambao napaswa niwasalimie. Eti nilikuwa namuuliza na wale nao niwasalimie.... halafu namwambia jamani me nimechoka...!
Kweli huwa nawasalimia wa karibu tuu tuliozoeana baaas
Wamesema mpaka wamechoka kwamba sisalimii ila me naona sawa tu
 
Mimi sinaga huo muda wa kujipendekeza kabisa kwa hawa viumbe,ukisalimia poa.
 
Back
Top Bottom