baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Bac tu ROHO yangu inasuzika[emoji4][emoji4][emoji16]We dada umenichekesha.. Ok
huyo mwenye mwonekano mzuri, unamsalimia ili iweje?? Anakupa hela au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bac tu ROHO yangu inasuzika[emoji4][emoji4][emoji16]We dada umenichekesha.. Ok
huyo mwenye mwonekano mzuri, unamsalimia ili iweje?? Anakupa hela au
Uyo tayari akili zake zinawaza mapenzi na kutongozwa, 😀😀sa muonekano mzuri ndo unasaidia nini , uyo atakuwa sio mfanyakazi wala mfanyabiashara, kwenye biashara akibase kuangalia mionekano mizuri itakula kwake, hamjui Richard branson kama hamjui akagoogle ni billionaire wa UK ila anamuonekano matata sanaWe dada umenichekesha.. Ok
huyo mwenye mwonekano mzuri, unamsalimia ili iweje?? Anakupa hela au
Shida wenye umri zenu tukiwapa shikamoo mnavunga ‘mnatupa mamboSiku hzi salam zao ni "mambo" hawaangalii ata umri wa mtu mbafu!
Kisa nini? Alianza tu bila sababu?Hayo matusi niliyotukanwa na mdada jirani yangu mwenye ujauzito huku nilipo! Heee saa hii ningekuwa jela nasubiri kunyongwa.Ila nimekaa kimya nimemwachia Mungu.
Mbaya zaidi hadi mtu wake ananitangazia vita wakati wote hawaniwezi nikiamua ku deal nao.
Dada zangu kuweni waungwana hamtapungukiwa kitu
HamnaaaWe dada umenichekesha.. Ok
huyo mwenye mwonekano mzuri, unamsalimia ili iweje?? Anakupa hela au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata siwazagi hivyo bac tu napendagaUyo tayari akili zake zinawaza mapenzi na kutongozwa, [emoji3][emoji3]sa muonekano mzuri ndo unasaidia nini , uyo atakuwa sio mfanyakazi wala mfanyabiashara, kwenye biashara akibase kuangalia mionekano mizuri itakula kwake, hamjui Richard branson kama hamjui akagoogle ni billionaire wa UK ila anamuonekano matata sana
mwanaume orgnal aseme hivo??Shida wenye umri zenu tukiwapa shikamoo mnavunga ‘mnatupa mambo
Au wengine mnauliza ‘unanipa shikamoo unataka kuninyima nini?
Pole kwa nani sasa?Poleni.
Kwani mtu kukutongoza ndiyo kusema ana tabia mbaya? Kama hutaki si unasema?Shida inaanza KWA hao hao wataka kusalimiwa wengi wenu TABIA zenu mbaya yaani inakua kama ndio umefungua mlango wa kukutongoza[emoji849]SASA cha kufanya salam ni KWA wazazi tu hao wengine watajua wenyewe
Ooh majukumu Mpwayungu. Halafu utasikia watu wanasema ID yako na yangu ni moja.[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ulipotelea Wapi
Kipenz,,, fasta chocolate inakuhusu Kwa mangi! Mwambie etugrul bey atalipa.1,2,3....zote umejichora namna moyo wako ulivyo.Jifunze kuwa sikuzote wema hufunika ubaya,lakini pia ubaya hufunika wema....ungemtendea wema ule ubaya aliofanya ungemfunza wema kutokana na wema wako,lakini unaporudisha baya,hajifunzi kitu zaidi kutambua kuwa kumbe nawe una roho mbaya.....Kinachotengenezwa hapo ni chuki....hujatengeneza amani.Tushirikiane kuifanya dunia ni sehemu ya amani na siyo visasi na machafuko
SASA mtu unafanana umri na baba yake baba yangu harafu unanitongoza hiyo ni TABIA nzuri??? [emoji849][emoji849]Kwani mtu kukutongoza ndiyo kusema ana tabia mbaya? Kama hutaki si unasema?
Ananituhumu kuwa me nina expose maisha yake na kumsemea kwa ndugu zake walio mbali huko. Kitu ambacho hakipo,na sina namba zao hata kidogo.Kisa nini? Alianza tu bila sababu?
Mr pipa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dawa ni kutoshoboka tuMi nawatyukanaga afu nalizika
Sawa❤️....asanteKipenz,,, fasta chocolate inakuhusu Kwa mangi! Mwambie etugrul bey atalipa.
Hapa ni yanga A na yanga B singida big starOoh majukumu Mpwayungu. Halafu utasikia watu wanasema ID yako na yangu ni moja.[emoji23][emoji23][emoji23]