Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Mbona kama we' ndiyo unateseka?una msongo wa mawazo sio bure,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama we' ndiyo unateseka?una msongo wa mawazo sio bure,
nateseka kivipi anayeteseka ni anayelipa visasi kwa ishu ya salamuMbona kama we' ndiyo unateseka?
Kwa nini hasa huwa hivyo? Kwa nini ukijipenda na ukiwa smart SANA wanakuwa wanakuchunia, hawaitikii salamu n.k? Na hasa ukiwa handsome?Na ukipendeza huwa wanajifanya kuangalia pembeni kama hakuoni vile kumbe anakuangalia kiaina tena kwa jicho baya na makasiriko kibao.
Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.
Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.
Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.
Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.
Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.
Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.
2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.
3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.
Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.
Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.
Sio kesi bati bati
anakwambia mambo muda huo anatembea kama yuko paredi!
wapumbafu sana
Mh ndugu yangu umeongea kitu mpaka nimejihisi kuhukumiwa asubuhi hii1,2,3....zote umejichora namna moyo wako ulivyo.Jifunze kuwa sikuzote wema hufunika ubaya,lakini pia ubaya hufunika wema....ungemtendea wema ule ubaya aliofanya ungemfunza wema kutokana na wema wako,lakini unaporudisha baya,hajifunzi kitu zaidi kutambua kuwa kumbe nawe una roho mbaya.....Kinachotengenezwa hapo ni chuki....hujatengeneza amani.Tushirikiane kuifanya dunia ni sehemu ya amani na siyo visasi na machafuko
Hapana,tunajifunza kutokana na makosaMh ndugu yangu umeongea kitu mpaka nimejihisi kuhukumiwa asubuhi hii
Shida kuna wengine ni wanaume kama wanawake ila sawa lesson has taken , ahsante.