Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
"Hata usiponisalimia, ukipata shida nakusaidia". Safi kabisa!Ukiendekeza salamu...Kwa siku unaweza kusalimia watu 100+
Usilaximishe kusalimiwa na kila mtu... Salamu zikiwa nyingi utachoka mdomo kuitikia salamu ni kero.
Kila baada mda...shikamo, zasaizi, marahaba, vipi halizenu, niaje, Mambo, poa, inakuwaje, kamakawa, salam alaykum, bwana asifiwe, Amani ya bwana, milele amina............n.k
Salimia panapohitajika kusalimia...siyo kila mtu unamsalimia.
Hata usipo nisalimia...ukipata shida nakusaidia.
Utasalimiwa na wangapi...? Utasalimia wangapi...?
Hapa ni yanga A na yanga B singida big starOoh majukumu Mpwayungu. Halafu utasikia watu wanasema ID yako na yangu ni moja.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo haya yabidi wafanye wanakijiji we town utake salamu utamkia wangapi na utaamkiwa na wangapi?Ukiendekeza salamu...Kwa siku unaweza kusalimia watu 100+
Usilaximishe kusalimiwa na kila mtu... Salamu zikiwa nyingi utachoka mdomo kuitikia salamu ni kero.
Kila baada mda...shikamo, zasaizi, marahaba, vipi halizenu, niaje, Mambo, poa, inakuwaje, kamakawa, salam alaykum, bwana asifiwe, Amani ya bwana, milele amina............n.k
Salimia panapohitajika kusalimia...siyo kila mtu unamsalimia.
Hata usipo nisalimia...ukipata shida nakusaidia.
Utasalimiwa na wangapi...? Utasalimia wangapi...?
kama kweli vileTuko busy kutafuta AFUTATU [emoji1787]
Wanaume nyie nao muda mwingine vichwa ujiNaomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.
Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.
Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.
Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.
Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.
Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.
2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.
3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.
Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.
Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.
Sio kesi bati bati
Salamu haigombi.Naomba wahenga na wadau wa masuala ya jinsia na mshikamano kwenye jamii mtusaidie, hii tabia inayokuwa Kwa kasi ya wadada/ wanawake kutosalimia mzizi wake ni nini.
Binadamu Hazina yake kubwa ni utashi wa kusalimiana. Kusalimia sio kutongozwa, na haimanishi ndio unajenga masndalizi ya kutongozwa Bali ni kuishi utu na Mungu na imani za ubinadamu katika jamii.
Baadhi yetu hatunaga shobo na kiu za kipuuzi tunajali utu na ubinadamu zaidi.
Katika maisha sisi binadamu ni madaraja ya aina mbalimbali katika nyanja mbalimbali za maisha.
Weka Hazina katika safari yako ya maisha popote ulipo.
Matokeo yake.
1. Nimempa lift kisha baada ya mita 20 nimegeuza gari nikamshusha nikamwambia we huna adabu unanikumbuka et eeeh toka kwenye gari yangu. Imeisha hio.
2. Kanikuta ofisi nyeti moja Dodoma, akanichangamkia huyu jini mnaso, nikamuuliza nini shida, akaeleza nikamwambia lete bahasha ntakusaidia. Sijajisumbua dakika 10 tu nimechana bahasha na kila kitu.
3. Aliibiwa simu Iphone halafu mpelelezi wa kesi classmate wangu wa A'level baada ya kuniona nae kaja kuniomba kipereso pereso nisaidie, nikamwambia tafuta laki2 nikala Laki na mwana laki, badaye nikasepa zangu nyamisati kupeleka mchele bado jau anakoma.
Ndio narudi nshapoteza huruma na hawa viumbe. Ntasaidia wenye utu na ubinadamu basi, wengine sina huruma nao.
Ishi na watu vizuri tulio na vijipesa vya kula bata na kujimudu tuna madharau kama yote.
Sio kesi bati bati
Yoyote anayekerwaPole kwa nani sasa?
Na sisi tushawachoka na mikalio yenu mibovu mibovuWanaume nyie nao muda mwingine vichwa uji
Yani nyie mkisalimiwa sana ni shida ooooh kale kadada na kenyewe kajitingozesha nn.
Msiposalimiwa oooh kale kadada kanajikuta ka mwamba miguu yenyewe imekaa kama ya kunguru.
Eeeeh bana eeh tushawachoka na mindevu yenu kama chupi za wamasai alaaaah[emoji23][emoji23]
Sasa wakigombani we' inakuhusu nini? Huenda we' ndiyo ukawa na shida! Jitathmini. Kwani mwanamke ni nani by the way, mpaka mtu ukim treat kama anavyoku treat ionekane unashindana naye?Mwanaume akianza kushindana na Mwanamke kuna tatizo mahali![emoji276]mwisho wa siku mtaanza kugombania mabwana
Tushapoa mamy muwe mnatusalimia jamani akina Demi mtapishana na gari la mishahara hivihiviPoleni.
Muache mambo ya kuwapima wanaume kwa mwonekano unaweza ukaniona mshamba lakini nikawa sponsor wako mzuri tuKiukweli hatuwezi kubadilikaš