Tabia ya wadada/wanawake kutosalimia huku Duniani mjiandae kwa mrejesho

utashangaa hata tako hana na salamu anabania.
 
Mkuu saidia wanaume wenzio hata ukifa leo watachimba kaburi kukusitiri....hawa akina asha ngedere achana nao wasikuumize kichwa, mwanamke huwa anajihisi yeye ndie kilakitu duniani, na ndio maana akitoka nyumbani amejipodoa na asitokee mwanaume wa kumshobokea kwa siku nzima anaweza kuchizi ( panic disoder )
 
Kabisa mwamba ,hii tabia wanayo hawa wanawake na mabinti akina mwajuma ndala ndefu wa hapa Tz na vipilipili vyao ,heshima hamna kabisa .pimbi sana hizo
 
Mabinti wa Tz ni vibwengo sana hawa sluts , sasa ukute umeajiri kibwengo kama huyo halafu umemuweka kwenye biashara ,hiyo biashara lazima ife tu
 
Ulishampa masai malinda nini ? Chupi ya mmasai wewe uliionaje ?
 
Na wewe uliyeandika haya si mtu mwema hata chembe vile vile.

Nilitegemea wewe uanze kutuonesha wema uliowafanyia hao wanawake ili liwe kama somo, lakini hakuna jema hata moja zaidi ya kudhalilisha watu kwa kuwateremsha garini na kuwatoza rushwa mbovu!

Salamu ni heshima anayostahili kupewa mtu muungwana na si mtu wa hovyo hovyo tu.

Ulitaka hao wanawake wakusalimie katika nazingira gani labda?

Jali maisha yako kijana, kutaka kupewa adabu zisizokustahili mtu muovu popote mabarabarani ni ujuha.

Unatumia muda wako wakukupatia riziki vibaya.
 
Shida inaanza KWA hao hao wataka kusalimiwa wengi wenu TABIA zenu mbaya yaani inakua kama ndio umefungua mlango wa kukutongoza[emoji849]SASA cha kufanya salam ni KWA wazazi tu hao wengine watajua wenyewe
Halafu kuringa huongeza thamani ya mwanamke waego!

Mimi nikiringiwa hunifanya nianze kutumia mbinu zangu za "medani" kuanza kumfuatilia huyo binti maringo ili nikione anachoringia.

Akikaza, ishu hiyo naifanya ligi ili tuone nani mshindi kwa kutumia njia halali na haramu.


Akiendelea kukaza, ataweza hata akanifirisi lakini ninachotaka ni ushindi kwa gharama yoyote ile, mradi nilikamate "kombe".
 
Take it from my position am a good man had natoa funzo hasi ujue ni exceptional believe it men. No grudge men
 
Kama umeniona mwamba everywhere I meet a man ever good ever thanks bro salute one love
 
Salamu haigombi.
Ukisalimiwa na usiposalimiwa unapungua au kuongezeka nini?
Una roho mbaya tu wewe w
ala usijipe visababu visivyokuwa na msingi
Thanks bro no harm no care no worry no payback
 
Everything is relative akili kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…