cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23] suruali akivaa yeye inatoshaaa.Nasema hivi, Coca hamna kuvaaa suruali kuanzia Leo, suruali zinakera saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] suruali akivaa yeye inatoshaaa.Nasema hivi, Coca hamna kuvaaa suruali kuanzia Leo, suruali zinakera saaana
Kisa kuvaa hivyo, angejua kuna mapunga wavaa suti hadi combat.Kwa hiyo huyo jamaaa apo ni punga???
Mwanamke anayevaa nguo za mapaja wazi, na huyu anavaa vizuri ila ni Malaya yupi ana afadhari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujakosea! Ushawahi kuona mke wa mtu amevaa kipedo mapaja wazi?
Mwanamke mwenye akili timamu anatembea mapaja wazi haraka akili itafikiria anajiuza
Na ndio maana ukienda kimboka wanawake wanavaa mapaja wazi kuvutia wateja.
Mavazi humtambulisha mtu, ukiona nguo za bakabaka unajua mwanajeshi, koti jeupe daktari, kipensi makalio yamebanwa mapaja nje shoga, mwanamke mapaja wazi malaya
Ata ufanyeje huwezi Nikita natembea napensi lasivyo Utaambiwa una mguu wakirubhati🤣yote tunaona poaSalaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Ili swali naomba kurudisha kwakoMwanamke anayevaa nguo za mapaja wazi, na huyu anavaa vizuri ila ni Malaya yupi ana afadhari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ushambaSalaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Mwanaume lazima uvae suruali muda wote haya ndio maadili yetuHata tunapokuwa sebuleni au uwani na familia ni lazima tujue kanuni na taratibu za mavazi.
Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Maadili ni nini.Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Sema ni mapokeo.Mwanaume lazima uvae suruali muda wote haya ndio maadili yetu
Ama ngozi ya ng'ombe mzeeSema ni mapokeo.
Maadili hauyafahamu wewe.
Suruali siyo asili yetu. Vibwaya na lubega.
Wwliokuletea suruali ndo wanakuvisha kaptula sasa
Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Jamaa anakuja na mapokeo na kututamadunisha kumbe ni uduni wa fikra.Ama ngozi ya ng'ombe mzee
Zamani ipi mkuu Maana hata wanajeshi na Askari wetu zaman walikuwa wakivaa PensiSalaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Hujamuelewa. Kuvaa kipensi tena juu ya magoti, kimebana Makalio alafu unazunguka mtaani sio jambo jema ndio analomaanisha mleta uzi na sio kuvaa pensi nyumbani kwako mkuu.Nimeshangaa sana mkuu, binafsi nikiwa home na mazingira yanayofaa ni mwendo wa pensi
Kabla ya uhuru enzi ya ukoloni walivaa,Zamani ipi mkuu Maana hata wanajeshi na Askari wetu zaman walikuwa wakivaa Pensi
Wameelewa, ila wanajitoa ufahamu.Hujamuelewa. Kuvaa kipensi tena juu ya magoti, kimebana Makalio alafu unazunguka mtaani sio jambo jema ndio analomaanisha mleta uzi na sio kuvaa pensi nyumbani kwako mkuu.
Acha dawa iwaingie.Wanaovaa hivyo uwa ni mashoga,naona wengine wamekuja kujitetea umu
Wewe ni mwanamke au Mwanaume?Mwanamke anayevaa nguo za mapaja wazi, na huyu anavaa vizuri ila ni Malaya yupi ana afadhari? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna moja ephen_ kaituma hapo. Ile ukitoka nayo ni automatic wewe umehama chama🤣Hujamuelewa. Kuvaa kipensi tena juu ya magoti, kimebana Makalio alafu unazunguka mtaani sio jambo jema ndio analomaanisha mleta uzi na sio kuvaa pensi nyumbani kwako mkuu.