Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Mimi sitofautishi.

Mwanaume mwenye Maadili havai pens Wala vikaptula hadharani.

Hili wimbi tukiendelea kuliacha bila kukemea, Mwanaume atatafutwa Kwa tochi siku Si nyingi.
Kwa hili la pensi nakupinga Mkuu. Pensi hasa zile zenye mamifuko cadet, zile ni standard kabisa. Sio na vile vya kubana makalio vya juu ya magoti. Vile ni vya kichoko kabisa.
 
Nyerere mwenyewe alikuwa anavaa pensi wkt anafundisha Pugu, waalimu, askari polisi, magereza, matarishi, na wengine walivaa kaptula kama hawa maafisa wa mwanzo post independence, zipo chini au juu ya goti?

madc wote uniform zao zilikuwa kaptula! View attachment 2884982
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora mumpe na uthibitisho huyu jamaa, akome kukurupuka
 
Honestly mimi nitakuwa nimepungukiwa maadili, binafsi naona zikiwa juu ya goti kidogo hazina shida, tena ME awe na miguu imekomaa kama mpanda milima weee! [emoji39]

Sorry, mmesema huu uzi wa wanaume enhe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi,mkuu(mleta mada)! Kwanza nimekuhishimu kwa ustaarabu wako,sijaona matusi kama wengine walivyo. Leo hii,ukienda maduka yote ya nguo,jeans zote si kama za kike(za kubana miguu na matako)!!! Mi naonaga bora hizo pensi kuliko zile suruali za dada zetu.
 
Binafsi,sipendi mavazi yasiyo na staha. Lakini,kama mvaaji kaamua mwenyewe,unamtafuta ubaya wa nini? Leo hii,wapo wanaokaa na kujiachia,hata chupi hawajavaa. Utalalamikia wangapi?! Wapo wanaotembea na nguo za ndani tu. Si watoto,si wakubwa.
Kama ilivyo,kila mwanamke anavyovaa au maisha anayoishi,ana limbukeni anaempenda hivyo alivyo au alivyovaa,na mwingine humuomba avae hivyo hivyo.
Na kwa wanaume au watoto wenye uume, kina anaejiona akivaa hivyo,ndo anapendeza(anaetaka atazamwe au aongelewe).
Ameona wanaovaa mlegezo na nguo za dada zao hawana shida,ila pensi tuuu.
Mi nahisi hapa tatizo kubwa ni kuingilia uhuru wa watu au kuchunguza maisha yasiyomhusu.
Huyo jamaa vinjunga vilimkataa wallah, ana makasiriko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mad Max unayo? Najua hukosi 😂😂 bila kusahau na ka air jordan chini sijui ka converse. Mnapendezaga sana..

#hapa sijazungumzia vipensi vya kina Juma Lokole.
IMG_5169.jpeg
 
Hivyo vipensi vifupi ni kwa ajili ya utambulisho.
Zanzibar ukija kisha tembelea sehemu za starehe hizi wanatumia mashoga kujitambulisha kwa watalii.
Hizi mambo walileta wazungu wabongo ni wazee wa kuiga tuu
 
Back
Top Bottom