Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Bado hata swala nyeti la shisha na kubeti hatujamaliza nyie msharukia mavazi? Ebu tupumzisheni vijana tatizo Ajira suruali zimepanda sana bei serkali ituangalie Karume tunapigwa sana na Mawinga.
 
Hizi TABIA mmeanza Juzi tu,

Dar joto halijaanza Juzi.

Msisitiri wanaume wenzetu, Mnatia Aibu!!

We kumbe ni bogaz kabisa,hujui dsm ya leo sio ya zamani,kwa sasa utandawazi mkubwa na unafiki umeanza kuondoka miongoni mwa watu,kuvaa pensi si kosa.
 
Hii tabia imeanza baada ya wale washinda vijiweni kuanza kwenda Jim kwaajili ya kutanua misuli ndio ujinga ulipoanzia wanajifanya wanaonyesha 6mbavu za mbwa
Gym sikuizi ni center ya kueneza USHOGA.

Haya mambo tusipokuwa wakali, uzao wa mtoto wa kiume utapotea.
 
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
Ujue huko nyuma tulivaa hivi
1706380281685.png
 
We kumbe ni bogaz kabisa,hujui dsm ya leo sio ya zamani,kwa sasa utandawazi mkubwa na unafiki umeanza kuondoka miongoni mwa watu,kuvaa pensi si kosa.
Haipo SHERIA inayokataza,

Mm naongea na wanaume wenzangu turudi kuangalia Maadili.
 
Haipo SHERIA inayokataza,

Mm naongea na wanaume wenzangu turudi kuangalia Maadili.

Tuvae misuli na kanzu huku vitendo vya ulawiti vikiongezeka kama yule shehe aliyembaka mwanafunzi wa madrasa,ndio unataka hivyo.

Kwako wewe dhana ya mavazi imekaaje mana kabla ya wazungu na waarabu tulivaa mashuka na vinguo vvya kufunika via vya uzazi na maisha yalisonga,

Nadhani unashida na kuelewa suala la mavazi ni utamaduni mahalia na sio matakwa yako binafsi. Ukienda scotland wanaume kuvaa siketi ni vazi la heshima.
 
Pensi navaa aisee tena vizuri tu na mwili ni wa kawaida halafu mbona watu wanavaa na wanakuwa poa kabisa

Huyu jamaa ni mshamba na limbukeni inaonekana mjini kafika siku sio nyingi arudi kwao umatumbini akaendelee kunywa kahawa na wazee wenzie huku wamevaa misuli.
 
Ok lete reference fasta, picha, video, links etc, otherwise ni imani yako tu na utunzi najua kila mbongo msanii siku hizi!

Nyerere mwenyewe alikuwa anavaa pensi wkt anafundisha Pugu, waalimu, askari polisi, magereza, matarishi, na wengine walivaa kaptula kama hawa maafisa wa mwanzo post independence, zipo chini au juu ya goti?

madc wote uniform zao zilikuwa kaptula!
042d0067ae8e44a1b636a04cccb0947e.jpg
 
Nyerere mwenyewe alikuwa anavaa pensi wkt anafundisha Pugu, waalimu, askari polisi, magereza, matarishi, na wengine walivaa kaptula kama hawa maafisa wa mwanzo post independence, zipo chini au juu ya goti?

madc wote uniform zao zilikuwa kaptula! View attachment 2884982
Hii ilikuwa ukoloni ulipokuja uhuru alipiga marufuku mila za kuangaliana mapaja
 

Attachments

  • Screenshot_20240127-230330_Chrome.jpg
    Screenshot_20240127-230330_Chrome.jpg
    184.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240127-230252_Chrome.jpg
    Screenshot_20240127-230252_Chrome.jpg
    206.5 KB · Views: 4
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.

NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.

Ni hayo tu!!
Mikono wazi, kaptura pale kariakooo. Inataka moyo mnoo
 
Back
Top Bottom