Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huenda nawe ni mvaaji unaona kawaida kubana maungoMimi tena?! Sijalalamikia wanaume kuvaa pens. Mi naonaga kawaida
Zamani hapakuwa na USHOGA uliokithiri.Bongo ushamba bado ni mzigo mzito!
Kumbukeni babu zetu walikuwa wanaficha pumbu tu, huo utamaduni ni upi?
Duh. Sema makalio. Viungo vipi. Sema tu nina vistiki,ningekuwa na miguu ya kueleweka, ningevaahuenda nawe ni mvaaji unaona kawaida kubana maungo
Nguo zilikuwa kupatikana kwa tabu.Sasa mitumba tele.Bongo ushamba bado ni mzigo mzito!
Kumbukeni babu zetu walikuwa wanaficha pumbu tu, huo utamaduni ni upi?
Wakati wa awamu ya kwanza,Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wanaofanya upumbavu huo na unao fanana na huo.Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na Mashoga.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Sasa hapa ndio umeonyesha ushamba wako. Pensi za heshima zipo kibao na ndio hizi tunatamba nazo mtaaniHizo pens za Heshima unazoziongelea hazipo madukani nowadays!!
Saiz vipo vikaptula vinavyobana maungo ya uzazi ,juu ya magoti, mapaja nje.
Na jinsi wanavyopenda chips, mapaja yanametameta.
Bahati yetu Sina mamlaka,
Mngekoma!!
Pens ya Heshima ikoje?Sasa hapa ndio umeonyesha ushamba wako. Pensi za heshima zipo kibao na ndio hizi tunatamba nazo mtaani
Mambo yalianza kuharibika enzi za Mzee wa Ruksa.Wakati wa awamu ya kwanza,Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wanaofanya upumbavu huo na unao fanana na huo.
Wakati wa awamu ya kwanza,ukivyaa kinyume na madili,utajui hujui.Mwalimu Nyerere ilikuwa hataki upumbavu mbavu na kucheka na wapumbavu.Ilikuwa ukivaa suruali ya kubana,inaingizwa chupa ya bia,kama haikupita,utajua kama hujui.Nakumbuka wanawake wa kihindi wa dini ya Hindu,walikuwa wakivyaa nguo zao,wanaacha kiuno na mgongo wazi,aliwapiga marufuku kuvaa hivyo,na wakabadilika,japo walisema ni dini yao ndio inaruhusu.
Rabbon Yuko kazini.Una inferior complexity.
Hahahaha, daaahTena vinabana ..unakuta Kaka ana kitako flan hivi😀😀😀 kaweka ba Wallet kama Jeneza.😀😀😀
Wanaume si kila Mbaba anatakiwa kuvaa Pensi...tunatiana aibu huku mitaani.
Siku hizi haya mavyakula kuna wanaume wamenza kuwa na vitako vitako vya ajabu ajabu sana aisee.
Ongeza na hizi Gym wanaenda waelekezaji badala ya kutoa mazoezi ya kiume,unakuta Mbaba anaendesha baiskeli ile kabinuka kiuno juu..what the hell uje uvaa na kipensi.
Wakati wa awamu ya kwanza,Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wanaofanya upumbavu huo na unao fanana na huo.
Hapa hatuelewani kwasababu misamiati ni mingi mara pensi, kaptula, bukta, vinjunga....
Tukubaliane tu kama inabana na sio ya mazoezi basi hairuhusiwi
Jamii za kitanzaniaHairuhusiwi na nani? Jibu hilo kwanza
Usitupangie maisha we jamaa na ushamba wakoNdo nasemaje,
Sababu Maadili yameporomoka ghafula,
Wanaume turudi kwenye mstari, tuache mazoea.
Pens zirudi chumbani na Kwa watoto, tumeelewana?
nafikiri umeelewa ninachomaanisha acha ufukunyuku nitaje hayo maungoDuh. Sema makalio. Viungo vipi. Sema tu nina vistiki,ningekuwa na miguu ya kueleweka, ningevaa
Me nataka tu nijue idadi ya wanaume na Hawa wengine wenye TABIA mbaya.Usitupangie maisha we jamaa na ushamba wako