Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Mimi sitofautishi.

Mwanaume mwenye Maadili havai pens Wala vikaptula hadharani.

Hili wimbi tukiendelea kuliacha bila kukemea, Mwanaume atatafutwa Kwa tochi siku Si nyingi.
Pensi bado nakupinga mkuu. May be kama wewe umetokea mikoa yenye baridi kali lakini kwa sisi wa Dar hapana. Unavaa jinsi kutwa nzima, joto kali, mambupu yanabana kwa kukosa hewa. Kuna muda you need to rest aisee
 
Salaam,Shalom!!

Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,

Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.

TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?

Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na Mashoga.

Ni hayo tu!!
Vile vinjuga mhhh hapana aiseh
 
Kuna pensi na vipensi Shem Bae

Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
Huyo si anakuwa ameleft gender shem bae!!🤣
Mwanaume kuvaa pensi inabana hadi makalio, mapaja na "kitu yake" anatangaza nini hapo.
 
Kuna pensi na vipensi Shem Bae

Unakuta Mwanaume kavaa kipensi kipo mapajani,kinambana, Makalio yamebanwa, kitu yake imebanwa, hadi fedheha.
Wanawake Wana taabu sana enzi hizi!!

Hivi unaanzaje kumshauri mumeo asivae kikaptula kinachobana makalio, jambo ambalo Yeye ndo alitakiwa asimamie Maadili ya familia!!
 
Kwa mazingira ya dar pensi naa tshit ni sawa ila alichopaswa aweke mtoa mada ni kuwa pensi ya kiume inapaaswa kuwa kati ya goti kwenda chini sio kuachia mapaja
 
Kwa mazingira ya dar pensi naa tshit ni sawa ila alichopaswa aweke mtoa mada ni kuwa pensi ya kiume inapaaswa kuwa kati ya goti kwenda chini sio kuachia mapaja
Pens ya kiume na ya kike sijawahi kuviona au kutofautisha.

Pens ni mavazi ya chumbani. Kuyaleta.mavazi ya chumbani hadharani, ni utovu wa nidhamu na kukosa Maadili.
 
Huyo si anakuwa ameleft gender shem bae!![emoji1787]
Mwanaume kuvaa pensi inabana hadi makalio, mapaja na "kitu yake" anatangaza nini hapo.
Si ndiyo Shem Bae...

Wa hivyo wame'left group indirect ways..
 
Pens ya kiume na ya kike sijawahi kuviona au kutofautisha.

Pens ni mavazi ya chumbani. Kuyaleta.mavazi ya chumbani hadharani, ni utovu wa nidhamu na kukosa Maadili.
Ww sasa usijekuwa msabato huwa mnamamisimamo ya kipuuzi.swala ni mtoto wa kiume uchi wake unaanzia magotini mpaka kifuani .pia asivae nguo ya kubana.ila mengine chaguo la mtu mkuu uhai ni zawadi ya mungu unappaaswa uenjoy usivae suti ukiwa beach .
 
Dunia inaenda kasi sana wanaume nao wanavaa pensi na kusifiwa miguu kama pisi...
Tatizo ni vipensi vya kuaachia mapaja ila hii niambie inashida gani mtu katoka na familia yake
 

Attachments

  • Screenshot_20240127-202321_Chrome.jpg
    Screenshot_20240127-202321_Chrome.jpg
    105.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom